theki
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,722
- 585
Hayo ndio maisha bora kwa kila mdanganyika.Nanukuu ''YAANI KIUNIT KUUZWA SH 800 MBONA BADO SO CHEAP'' huyo ndio waziri ambaye jimboni kwake yeye tuu ndio mwenye umeme halafu Serekali ndiyo inamlipia hizo bili.Mbona tutakomaa.........?
Halafu eti wafanyabiashara hawataki kulipa kodi serekali ya magogoni inachekelea au hupo kwenye kongamano la fursa Diamond Jubilee akitoka jioni utasikia kaenda Afrika ya Kati kusuluhisha.:bored::bored::bored:
Halafu eti wafanyabiashara hawataki kulipa kodi serekali ya magogoni inachekelea au hupo kwenye kongamano la fursa Diamond Jubilee akitoka jioni utasikia kaenda Afrika ya Kati kusuluhisha.:bored::bored::bored: