TANESCO, Watanzania si wajinga, washeni Mitambo ya IPTL, tunataka umeme hatutaki maelezo

Tusubiri uchaguzi upite kwanza
Mimi wazo langu tufute mambo ya vyama vingi tuwe na chama kimoja ccm akuta kuwepo tena mambo ya kutumia pesa kwenye uchaguzi maisha yatakuwa bomba kama china
 
Juzi juzi Mramba alisema baada ya kuwasha mitambo inayotumia gesi shida ya umeme itakuwa mwisho. Leo ndani ya mwezi mmoja wanatwambia hakuna umeme. Hii ni dharau iliyopitiliza kwa Watanzania. Mabadiliko.

TUJITEGEMEE namtafuta Simba Chawene na kauli ya mgao wa umeme kuwa historia Tanzania.
 
Hela za mafuta zimekwenda kwenye kampeni, wameleta gesi mbiooo kuokoa jahazi lakini wamekwamaaa...alafu hii ishu ya gesi hata managers hawajui lolote..
 
Dah watanzania wenzangu Nan katuloga??? Inashangaza kuona hatujui haki zetu; tumekuw watu wa kuyumbishwa tuu na wachache wanaojinufaisha...
 
Walisema Tatizo Litaisha Mwishoni Mwa August, Mara Kati Kati Ya Sept. Hivi Sasa Mwishoni Mwa October!! Mara Jana Mramba Anasema Tatizo Ni MITAMBO Ile Ilivyokuwa Ikitumika Zamani, Imekaa Muda Mrefu Mno!!! Hivyo Kila Wakiiwasha Inazima, Na MITAMBO MENGINE Si Mali Ya TANESCO, Hivyo Hadi Wenyewe Wajiridhishe Kwanzaa!!! JAMBO JINGINE Ambalo Ndilo Lenye Ukweli ZAIDI, UZALISHAJI Wa UMEME Ktk. VYANZO Vyote MAJI Ktk. MABWAWA Yote Nchini!! Hivi Sasa Uko Chini Ya 55% to 70%!! Wametaja Yote Yako CHINI Ya UZALISHAJI!!! Sasa Tutegemee Kupata UMEME Wa Kutosha Hapo!!!?? Tunapigwa Siasa Tu, UCHAGUZI Upite!!
 
Siasa imeshaharibu hadi taaluma za watu kiasi kwamba watu hawaji ni scientific answers ni blaa blaaa na maneno ya uwongo uwongo. nchi za wenzetu uongo kama huu unanyang'anywa hati vyeti vyako vya academi
 
Umeme shida,maji shida,huduma hospitalini mbovu,elimu nayo shida,..CCM ikirudi madarakani, kweli itabidi Watanzania tukapimwe uwezo wetu wa akili..
 
Umeme shida,maji shida,huduma hospitalini mbovu,elimu nayo shida,..CCM ikirudi madarakani, kweli itabidi Watanzania tukapimwe uwezo wetu wa akili..

kikubwa zaidi hizo hudma tunalipia kila mwezi na si bure alafu eti pesa ya mafuta hamna.
 
Tuwashe mtambo wa rugemalira tena? Acheni tu tukae gizani kama gesi hakuna.
 
Siasa imeshaharibu hadi taaluma za watu kiasi kwamba watu hawaji ni scientific answers ni blaa blaaa na maneno ya uwongo uwongo. nchi za wenzetu uongo kama huu unanyang'anywa hati vyeti vyako vya academi

Huyu engineer kasomea wapi?
 
Walisema Tatizo Litaisha Mwishoni Mwa August, Mara Kati Kati Ya Sept. Hivi Sasa Mwishoni Mwa October!! Mara Jana Mramba Anasema Tatizo Ni MITAMBO Ile Ilivyokuwa Ikitumika Zamani, Imekaa Muda Mrefu Mno!!! Hivyo Kila Wakiiwasha Inazima, Na MITAMBO MENGINE Si Mali Ya TANESCO, Hivyo Hadi Wenyewe Wajiridhishe Kwanzaa!!! JAMBO JINGINE Ambalo Ndilo Lenye Ukweli ZAIDI, UZALISHAJI Wa UMEME Ktk. VYANZO Vyote MAJI Ktk. MABWAWA Yote Nchini!! Hivi Sasa Uko Chini Ya 55% to 70%!! Wametaja Yote Yako CHINI Ya UZALISHAJI!!! Sasa Tutegemee Kupata UMEME Wa Kutosha Hapo!!!?? Tunapigwa Siasa Tu, UCHAGUZI Upite!!

Hakuna Maelezo ya ukweli hapo
 
Back
Top Bottom