Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
LEO asubuhi wakati Mnyika anaanza kujenga hoja zenye kuonesha maana ya bunge, zikielekezwa kwa waziri mkuu baada ya kusaidia kama kinda na spika, walikata umeme ghafla. Tena ukarudishwa jioni saa 1 na sasa hivi kabla ya taarifa ya habari wakakata tena!
Jamani, hizi si mbinu chafu za ccm ili tusijue kinachoendelea?
Jamani, hizi si mbinu chafu za ccm ili tusijue kinachoendelea?