Mtaka Haki
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 492
- 149
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya mwanakikao. Zinasema uongozi wa TANESCO wako leo wamekaa kikao wanaandaa waraka wa kuwalipa DOWANS. Ni Mungu tu aingilie kati hali ya nchi hii. Saa chache zilizopita bado walikuwa ndani ya kikao hicho.