TANESCO: Taarifa kwa Vyombo vya Habari

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,308
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kuuarifu umma kuwa mitambo mipya ya kuzalisha umeme ya Megawati 100 iliyoahidiwa bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, Mheshimiwa William Ngeleja, imewasili nchini leo [12 August] na kazi ya kuifunga inaanza mara moja. Mitambo hiyo iliyokodiwa kutoka Kampuni ya Aggreko ya Mombasa (Kenya), itafungwa katika maeneo ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam ambapo kila kituo kitazalisha Megawati 50.


Umeme wa mitambo hiyo utaingia kwenye gridi ya Taifa mapema Septemba 2011. Mitambo hiyo itakayotumia mafuta itapunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la mgawo wa umeme nchini kwa kuzingatia ukweli kuwa mitambo ya Jacobsen Electro Supply kutoka Sweden itakayozalisha Megawati 100 nayo imeshaanza kufungwa Ubungo. Awali TANESCO ilikuwa ikikabiliwa na upungufu wa Megawati 260.

Hivyo kuwasili kwa mitambo ya Aggreko, kuwashwa mitambo ya IPTL inayozalisha Megawati 100, kutumika kwa Mitambo ya Symbion ya Megawati 112 na kuendelea kufungwa mitambo ya Jacobsen kunaipa TANESCO nafasi kubwa ya kumaliza tatizo la mgawo wa umeme mara baada ya kazi ya ufungaji wa mitambo hiyo itakapokamilika.

TANESCO inapenda kuwahakikishia Watanzania kwamba inafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa Mikoa yote iliyounganishwa katika gridi ya Taifa inapata umeme wa kutosha, sambamba na kupanua huduma ya usambazaji umeme kwa wateja wapya.

Imetolewa na:
Ofisi ya Mahusiano
Tanesco: Makao Makuu

http://www.tanesco.co.tz/index.php?option=com_remository&Itemid=214&func=startdown&id=381
 
Bla bla
Mpaka tutakapouona umeme umekuwa wa uhakika bado hizo ni taarifa tuu
 
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kuuarifu umma kuwa mitambo mipya ya kuzalisha umeme ya Megawati 100 iliyoahidiwa bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, Mheshimiwa William Ngeleja, imewasili nchini leo [12 August] na kazi ya kuifunga inaanza mara moja. Mitambo hiyo iliyokodiwa kutoka Kampuni ya Aggreko ya Mombasa (Kenya), itafungwa katika maeneo ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam ambapo kila kituo kitazalisha Megawati 50.


Umeme wa mitambo hiyo utaingia kwenye gridi ya Taifa mapema Septemba 2011. Mitambo hiyo itakayotumia mafuta itapunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la mgawo wa umeme nchini kwa kuzingatia ukweli kuwa mitambo ya Jacobsen Electro Supply kutoka Sweden itakayozalisha Megawati 100 nayo imeshaanza kufungwa Ubungo. Awali TANESCO ilikuwa ikikabiliwa na upungufu wa Megawati 260.

Hivyo kuwasili kwa mitambo ya Aggreko, kuwashwa mitambo ya IPTL inayozalisha Megawati 100, kutumika kwa Mitambo ya Symbion ya Megawati 112 na kuendelea kufungwa mitambo ya Jacobsen kunaipa TANESCO nafasi kubwa ya kumaliza tatizo la mgawo wa umeme mara baada ya kazi ya ufungaji wa mitambo hiyo itakapokamilika.

TANESCO inapenda kuwahakikishia Watanzania kwamba inafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa Mikoa yote iliyounganishwa katika gridi ya Taifa inapata umeme wa kutosha, sambamba na kupanua huduma ya usambazaji umeme kwa wateja wapya.

Imetolewa na:
Ofisi ya Mahusiano
Tanesco: Makao Makuu


... I love this this song !!!
 
hiyo mikataba ya umeme wa dharura ndiko wanakojichimbia na ufisadi wao. Tutajua baadae how much is the cost.
 
Ningependa huo wimbo uwe unapigwa kila siku
Mpaka bibi na babu kijijini wanajua hizo hesabu za magewatt japo hata umeme hawana
 
hiyo mikataba ya umeme wa dharura ndiko wanakojichimbia na ufisadi wao. Tutajua baadae how much is the cost.

Kuanzia kuileta mpaka inafungwa na kununua mafuta ya kuitumia wanajua wameshakula ngapi
na je mbona hatuambiwi ikiondoka au mkataba wa dharura ukiisha tunarudi kule kule au inakuwaje
 
Kwani megawati ndo nini wengine hatujui mi nachojua kuna volts za umemE au na je megawati zinaweza kutoa volti ngapi nahtj msaada
 
sina uhakika na habari hii mana cijaisikia kokote zaid ya hp jf. JE MTOA HOJA WE NI MFANYAKAZI WA TANESKO?UMEPATAPATAJE HABARI HII?
 
Kwani megawati ndo nini wengine hatujui mi nachojua kuna volts za umemE au na je megawati zinaweza kutoa volti ngapi nahtj msaada
Megawati inatokana au ni kifupi cha neno
"Mgawo wa Dhati",
Yaani watu wanapanga live kutugaia Mgao kwa dhati kabisa, bila hata kuoneana huruma,
Umeelewa sasa??
Kama hujaelewa ni-PM
 
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kuuarifu umma kuwa mitambo mipya ya kuzalisha umeme ya Megawati 100 iliyoahidiwa bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, Mheshimiwa William Ngeleja, imewasili nchini leo [12 August] na kazi ya kuifunga inaanza mara moja. Mitambo hiyo iliyokodiwa kutoka Kampuni ya Aggreko ya Mombasa (Kenya), itafungwa katika maeneo ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam ambapo kila kituo kitazalisha Megawati 50.


Umeme wa mitambo hiyo utaingia kwenye gridi ya Taifa mapema Septemba 2011. Mitambo hiyo itakayotumia mafuta itapunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la mgawo wa umeme nchini kwa kuzingatia ukweli kuwa mitambo ya Jacobsen Electro Supply kutoka Sweden itakayozalisha Megawati 100 nayo imeshaanza kufungwa Ubungo. Awali TANESCO ilikuwa ikikabiliwa na upungufu wa Megawati 260.

Hivyo kuwasili kwa mitambo ya Aggreko, kuwashwa mitambo ya IPTL inayozalisha Megawati 100, kutumika kwa Mitambo ya Symbion ya Megawati 112 na kuendelea kufungwa mitambo ya Jacobsen kunaipa TANESCO nafasi kubwa ya kumaliza tatizo la mgawo wa umeme mara baada ya kazi ya ufungaji wa mitambo hiyo itakapokamilika.

TANESCO inapenda kuwahakikishia Watanzania kwamba inafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa Mikoa yote iliyounganishwa katika gridi ya Taifa inapata umeme wa kutosha, sambamba na kupanua huduma ya usambazaji umeme kwa wateja wapya.

Imetolewa na:
Ofisi ya Mahusiano
Tanesco: Makao Makuu
Watuhakikishie je, gharama za umeme hazitapanda???????????K Kuendesha magenerator ya mafuta Haya ndiyo mambo yatakayo fukuza wawekezaji nchini kwetu, hata kama unataka kufunga kiwanda chochote kuzalisha kitu chochote kibiashara, gharama za umeme zitakutimua. Bora ukafunga kiwanda Rwanda unauhakika wa umeme wa bei nafuu, wachumi watanielewa!!!!!!!!!!
 
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kuuarifu umma kuwa mitambo mipya ya kuzalisha umeme ya Megawati 100 iliyoahidiwa bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, Mheshimiwa William Ngeleja, imewasili nchini leo [12 August] na kazi ya kuifunga inaanza mara moja. Mitambo hiyo iliyokodiwa kutoka Kampuni ya Aggreko ya Mombasa (Kenya), itafungwa katika maeneo ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam ambapo kila kituo kitazalisha Megawati 50.


Umeme wa mitambo hiyo utaingia kwenye gridi ya Taifa mapema Septemba 2011. Mitambo hiyo itakayotumia mafuta itapunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la mgawo wa umeme nchini kwa kuzingatia ukweli kuwa mitambo ya Jacobsen Electro Supply kutoka Sweden itakayozalisha Megawati 100 nayo imeshaanza kufungwa Ubungo. Awali TANESCO ilikuwa ikikabiliwa na upungufu wa Megawati 260.

Hivyo kuwasili kwa mitambo ya Aggreko, kuwashwa mitambo ya IPTL inayozalisha Megawati 100, kutumika kwa Mitambo ya Symbion ya Megawati 112 na kuendelea kufungwa mitambo ya Jacobsen kunaipa TANESCO nafasi kubwa ya kumaliza tatizo la mgawo wa umeme mara baada ya kazi ya ufungaji wa mitambo hiyo itakapokamilika.

TANESCO inapenda kuwahakikishia Watanzania kwamba inafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa Mikoa yote iliyounganishwa katika gridi ya Taifa inapata umeme wa kutosha, sambamba na kupanua huduma ya usambazaji umeme kwa wateja wapya.

Imetolewa na:
Ofisi ya Mahusiano
Tanesco: Makao Makuu

Mbona kenya nao wanalalamika na mgao,halafu Aggreko ndo wanahamisha mitambo kutoka kenya!au ndo tunaletewa mabomu tu
 
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kuuarifu umma kuwa mitambo mipya ya kuzalisha umeme ya Megawati 100 iliyoahidiwa bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, Mheshimiwa William Ngeleja, imewasili nchini leo [12 August] na kazi ya kuifunga inaanza mara moja. Mitambo hiyo iliyokodiwa kutoka Kampuni ya Aggreko ya Mombasa (Kenya), itafungwa katika maeneo ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam ambapo kila kituo kitazalisha Megawati 50.


Umeme wa mitambo hiyo utaingia kwenye gridi ya Taifa mapema Septemba 2011. Mitambo hiyo itakayotumia mafuta itapunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la mgawo wa umeme nchini kwa kuzingatia ukweli kuwa mitambo ya Jacobsen Electro Supply kutoka Sweden itakayozalisha Megawati 100 nayo imeshaanza kufungwa Ubungo. Awali TANESCO ilikuwa ikikabiliwa na upungufu wa Megawati 260.

Hivyo kuwasili kwa mitambo ya Aggreko, kuwashwa mitambo ya IPTL inayozalisha Megawati 100, kutumika kwa Mitambo ya Symbion ya Megawati 112 na kuendelea kufungwa mitambo ya Jacobsen kunaipa TANESCO nafasi kubwa ya kumaliza tatizo la mgawo wa umeme mara baada ya kazi ya ufungaji wa mitambo hiyo itakapokamilika.

TANESCO inapenda kuwahakikishia Watanzania kwamba inafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa Mikoa yote iliyounganishwa katika gridi ya Taifa inapata umeme wa kutosha, sambamba na kupanua huduma ya usambazaji umeme kwa wateja wapya.

Imetolewa na:
Ofisi ya Mahusiano
Tanesco: Makao Makuu
Same song different tune
 
<font color="#0000CD"><font size="3"><b>Watuhakikishie je, gharama za umeme hazitapanda???????????K Kuendesha magenerator ya mafuta Haya ndiyo mambo yatakayo fukuza wawekezaji nchini kwetu, hata kama unataka kufunga kiwanda chochote kuzalisha kitu chochote kibiashara, gharama za umeme zitakutimua. Bora ukafunga kiwanda Rwanda unauhakika wa umeme wa bei nafuu, wachumi watanielewa!!!!!!!!!!</b></font></font>
<br />
<br />
mkuu MW kinachotakiwa ni sisi kununua hayo majenereta tuwenayo kuliko kukodi mbona rada na ndege ya raisi tumeweza hawa bwana wanaboa ni bora tusiwe na wizara ambayo haitatui matatizo ya watu wake..

chengine hawa wah. huko bungeni naona wamelala mbaya hadi wengine wameshakata network nini kinaendelea tz na huyu ngereja naona anafikiria kimasaburi zaidi..
 
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kuuarifu umma kuwa mitambo mipya ya kuzalisha umeme ya Megawati 100 iliyoahidiwa bungeni na Waziri wa Nishati na Madini, Mheshimiwa William Ngeleja, imewasili nchini leo [12 August] na kazi ya kuifunga inaanza mara moja. Mitambo hiyo iliyokodiwa kutoka Kampuni ya Aggreko ya Mombasa (Kenya), itafungwa katika maeneo ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam ambapo kila kituo kitazalisha Megawati 50

Umeme wa mitambo hiyo utaingia kwenye gridi ya Taifa mapema Septemba 2011. Mitambo hiyo itakayotumia mafuta itapunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la mgawo wa umeme nchini kwa kuzingatia ukweli kuwa mitambo ya Jacobsen Electro Supply kutoka Sweden itakayozalisha Megawati 100 nayo imeshaanza kufungwa Ubungo. Awali TANESCO ilikuwa ikikabiliwa na upungufu wa Megawati 260.

Hivyo kuwasili kwa mitambo ya Aggreko, kuwashwa mitambo ya IPTL inayozalisha Megawati 100, kutumika kwa Mitambo ya Symbion ya Megawati 112 na kuendelea kufungwa mitambo ya Jacobsen kunaipa TANESCO nafasi kubwa ya kumaliza tatizo la mgawo wa umeme mara baada ya kazi ya ufungaji wa mitambo hiyo itakapokamilika.

TANESCO inapenda kuwahakikishia Watanzania kwamba inafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa Mikoa yote iliyounganishwa katika gridi ya Taifa inapata umeme wa kutosha, sambamba na kupanua huduma ya usambazaji umeme kwa wateja wapya.

Imetolewa na:
Ofisi ya Mahusiano
Tanesco: Makao Makuu

Sawa mkuu.......nadhani ni kawaida yenu..ngoja tuone..
 
Mi huwa navutiwa na hesabu na FIGA za megawati,hadi raha
<br />
<br />
Kwa kweli huu wimbo wa megawati umeimbwa sana na tanesco pamoja na wizara ya nishati na madini.
Ukimsikiliza ngeleja anavyotaja megawati,ukija huku tanesco nao wanavyotaja megawati kweli raha mustarehe.
 
Back
Top Bottom