Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,637
- 2,459
Tv guard mzeee muhimu sana
Huo ndiyo upuuzi. Kwa hiyo Tanesco wanafanya madudu hayo ili watu tununue TV guard? Lazima watu wawajibishwe. Siku hizi mtu akiwa serikalini au shirika la umma anaweza kufanya lolote na lawama unakuja kwa mtu wa kawaida. Tanesco weredi na uwajibikaji zero..Kila siku mnaambiwa nunueni AVR,hizo TV guard zenyewe ni utopolo mtupu.
AVR ya 1.5KVA utalinda vifaa hata vitatu ambavyo ni sensitive to electrical surge.
Voltage spike inadhibitiwa na surge protector. Socket->surge protector->voltage stabillizer.Juzi nilikua namwambia mtu umuhimu wa stablizer akawa anakaza fuvu
Huyu mleta uzi kama aliconnect tv tena ya 2m direct basi ana upumbavu wa kiwango cha juu sana!Juzi nilikua namwambia mtu umuhimu wa stablizer akawa anakaza fuvu
Huo ndiyo upuuzi. Kwa hiyo Tanesco wanafanya madudu hayo ili watu tununue TV guard? Lazima watu wawajibishwe. Siku hizi mtu akiwa serikalini au shirika la umma anaweza kufanya lolote na lawama unakuja kwa mtu wa kawaida. Tanesco weredi na uwajibikaji zero..
Huo ndiyo upuuzi. Kwa hiyo Tanesco wanafanya madudu hayo ili watu tununue TV guard? Lazima watu wawajibishwe. Siku hizi mtu akiwa serikalini au shirika la umma anaweza kufanya lolote na lawama unakuja kwa mtu wa kawaida. Tanesco weredi na uwajibikaji zero..