TANESCO, mgao huu una sababu gani tena?

Ni lazima tukubaliane TANESCO hawausiani na vyama vya siasa, pia tanesco sio chama cha siasa.

sio lazima tukubali usemalo mama tambua serekali ya wanasiasa ndio wenye amri na kauli ya mwisho kwa shirika la umma kama tanesco na tbc.
 
Sisi huku kilombero haukatikag sijui hatupo grid ya taifa????FULL BATA YAN AD RAHA
 
Magufuli hana sera aisee. Yeye anaona kuongea kilugha cha kikabila ndio sera. Na nitashangaa watu wanashangilia wakati maisha magumu. Aisee watanzania tuna fikrate finyuuu sanaa.
 
Mhe wakili; Petro E. Mselewa kwa maana nyepesi kabisa Tanesco wanaihujumu ccm badala ya kuwasaidia...!!
 
Mhe wakili; Petro E. Mselewa kwa maana nyepesi kabisa Tanesco wanaihujumu ccm badala ya kuwasaidia...!!

Hakuna maelezo sahihi zaidi ya haya. . . . .

Mgao ungeisha December kabisaa ili wakiwasha kusiwe na shida tena
 
Kwa nini umeme bado unakatika katika, bila maelezo ya kueleweka, vp, tanesco semeni tuchangie kama ukawa. Tatizo nini na gesi ipo. " Kufanya kazi serikalini,una umia ila unavumilia," du!kazi kweli, unaogopa hata kusema ukweli.
 
Watanzania yapasa sasa kuipumzisha ccm oct 25 hali ni mbaya sana Watanzania tupo Gizani tangu mwezi wa sita.

Tanesco wanatudangaya kila siku, shirika sasa limeanza kufanya siasa kwenye maisha ya Watu.

Umeme sasa imefika hatuoni kwa siku mbila. Chakushangaza umeme unakatwa mahali kwa mahali.

Sasa tunajiuliza kama ni matengenezo ya mitambo ya Gesi, kulikoni umeme usizimwe kote? Kama sio mgao?

Tanesco wawe wazi shirika hili limeshafilisika. Hakuna pesa za kumudu kutoa huduma uo ndiyo ukweli, maana maneno haya yanaongelewa kila mahali kwama hakuna pesa.

Sasa huu ni ujumbe tosha kwa chama cha mapinduzi. Wameshashindwa kuendesha Nchi hii.

Ifikapo oct 25 watazipata salam zetu kwenye sanduku la kura, tumechoka kufanywa Malofa.

Umeme shida. Maji shida. Hajira shida.madawa shida.mishahara ya wafanyakazi shida. Shida kila maali. Ccm mmeharibu kila kitu, tukutane oct 25.
 
Kahama leo tuna siku ya pili mfululizo umeme hamna,tuna subiri 25 october,na sisi tufanye yetu,ilitueshimiane.
 
Huku kwetu umeshakatika tayari tokea saa 12 asubuhi!
Dawa yao inakuja October.
 
Kama kuna shirika la kuanza nalo October 26 tu mweshimiwa lowasa nakuomba rais wangu uanze na tanesco
 
Huku kwetu gt tulishazoa umeme wa usku tu nilikuwa naishi kijjn et nikasema nihamie kwenye umeme yaana najuta tu maana hakuna utofauti miez 3 umeme ni usku tu yaan saa11alfajili fyaaa kaumeme kurud saa1jion mi naona kama vip waondoe tu umeme hapa tz ili tujitegemee wenyewe sio umeme kunyanyaswa hivi
 
Back
Top Bottom