Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Yale machungu yaliyojitokeza mwaka juzi Tabora kwa watoto kufa kwenye disco kwa kukosa hewa ....safari hii yamejitokeza tena safari hii wilayani TEMEKE ambapo watoto zaidi ya watatu wamekufa na wengine kujeruhiwa ...mara baada ya umeme wa TANESCO kukatika ghafla kwenye eneo/mtaa ulipo ukumbi wa DISCO waliokuwa wakicheza..............huu ni mfululizo wa uzembe unaoendelea nchini!!!....magazeti ya leo yatakuwa na habari zaidi...