Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
Mimi ni dada, ha haaaaaaaaaaaa, mambo ya IDkaka noted..siunajuwa tena kiswahili wengine ni lugha ya pili au tatu...i meant to say..."baada ya umeme kakatika ghafla".....naomba isomeke na kueleweka hivyo....,nadhani miundombinu na hali ya TANESCO inajulikana.........
kule TABORA Mwaka juzi ni viyoyozi vilizidiwa nguvu watu wakaanza ku suffocate taratibu..bila kujijuwa wakawa wanaishiwa nguvu.........
kuhusu tatizo la viyoyozi au hitilafu yoyote ndani ya ukumbi sidhani kama ni fault ya Tanesco (sina uhakika sana kuhusu hili). kama ni kweli basi wakati mwingine tuache kulaumu chombo kisichohusika.