Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,677
- 13,162
Next Level comment yako ya kwanza umeielaborate vizuri sana. Watu waache hizi imani
potofu. Nakubaliana na wewe kabisa hapa swala zima litakuwa ni shirika la Tanesco na wandugu kutokufikia makubaliano sasa kuepuka hitilafu ambazo zitaweza kujitokeza au kusababishwa na hiyo miti waliona vyema kutumia njia hiyo. kumbukeni hiyo miti ni mibichi miaka yote haikauki sasa umeme na ubichi wapi na wapi. Hizi imani zinaturudisha nyuma kila siku..
potofu. Nakubaliana na wewe kabisa hapa swala zima litakuwa ni shirika la Tanesco na wandugu kutokufikia makubaliano sasa kuepuka hitilafu ambazo zitaweza kujitokeza au kusababishwa na hiyo miti waliona vyema kutumia njia hiyo. kumbukeni hiyo miti ni mibichi miaka yote haikauki sasa umeme na ubichi wapi na wapi. Hizi imani zinaturudisha nyuma kila siku..