mi mwenyewe nipo bize kweli ofsini ila namsubiri sponsor wangu mmoja nikapate lunch hapo sea cliff aisee
Niko mbali ningejiunga huapo japo sijajua huyo sponsor ni wa jinsia gani
Asante sana dear
mi mwenyewe nipo bize kweli ofsini ila namsubiri sponsor wangu mmoja nikapate lunch hapo sea cliff aisee
We acha tuu nilitoka chicha mbaya
Happy New Year Blaki Womani
Kudadekiii....shati la rangi ya zambarau na suruali nyekundu...:shock:sipati picha alifananaje na hizo rangi
Amekuwa mkongomani au pedesheee siku hizisoksi za manjano kweli ulipendeza
nawe heri ya mwaka mpya
Kudadekiii....shati la rangi ya zambarau na suruali nyekundu...:shock:
Weekend twaenda Mombasa uko tayari tukupitie hapoviatu vyeupe soksi njano unasemaje hapo
vipi w/end wapi kwenye utamu nasubiri mwaliko
soksi za manjano kweli ulipendeza
nawe heri ya mwaka mpya
Kudadekiii....shati la rangi ya zambarau na suruali nyekundu...:shock:
Amekuwa mkongomani au pedesheee siku hizi
viatu vyeupe soksi njano unasemaje hapo
vipi w/end wapi kwenye utamu nasubiri mwaliko
Nyie watu nyie mbona mnataka watu waige style yangu hiyo ya mavazi
Nyuki siku hiyo karibu waning'ate maana mchanganyiko huo walifikiri mimi ni ua linalotembea
na vile ilikuwa kipindi cha sikukuu walifikiri christmas tree inatembea
Ngoja niongee na dereva wa hilo basi aweke siti yako nimeambiwa ukipanda humo ndani kuna raha ya ajabu...lolhahahahahah
mie utanishusha koogwe