The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
kuna haya mabadi ya taqwa ya kutoka kenya had zimbabwe nayo huywa yameandikwa ajabu ajabu......hahahhaha
Mkuu,
Umeamua kurudi tena Tanga kwa mara ya pili?...hakika kwa hali kama ile ilikuwa ni lazima wende tena!
Najua Utakuwa Umekosea shabaha kidogo ulikuwa unataka kulenga S Jihadhari Siku/sehemu nyingine utapata Kesi!
samahani sijui nimekufananisha.......?
Hahahahaha!!! PJ bana...lolMkuu,
Umeamua kurudi tena Tanga kwa mara ya pili?...hakika kwa hali kama ile ilikuwa ni lazima wende tena!
To you too bruh...huuuuuuh....................happy new TF.
Hujafananisha!...samahani sijui nimekufananisha.......?
Lol...Ndallo kama ulikuwepo vile.."Hamu yashinda Utamu" Lazima hili basi litakua linatokea Mombasa!
Hujafananisha!...
Mimi ni yuleyule, tulosoma wote kidato kimoja pale Babati!
hamu niliyonayo juu yako inashinda utamu wa tfpj heri ya mwaka mpya
preta atakataa sio yeye may be umemfananisha