tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
Naomba mtu anifafanulie ni kwa vipi Uanzishwaji na uendeshwaji wa Mahakama za Kadhi unashabihiana kimuundo na kisheria na MoU katika baadhi ya hospital zilizo chini ya jumuia za kikristo nchini
Hospital za misheni zinatoa huduma ya kulipia sio bure,ile ni biashara,na biashara haibagui mteja,as long as ana pesa ya kulipia huduma,kwanini serikali igharamike kuziendesha?Hospitali zinahudumia watu wote pamoja na wasio na dini.
Mahakama ya kadhi itahudumia waislam peke yake alafu mnataka kodi ya serikali(wakristo,waislam,wasio na dini,waabudu dini za bibi zao) pesa yao itumike kuwahudumie nyie waislam peke yenu. Huo ni utaahira.
Labda uniambie hizo hospitali huhudumia wakristo peke yake.
Sis wakristo hatujakataa mahakama ya kadh. Ila anzishen ninyi wenyew waislam na muiendeshe ninyi wenyewe. Kwa nini mnatak serikali iingilie mambo yenu? Huku mkijua kuwa serikali haina din?
Mahakama ya Kadhi haina mdhara kwa jamii ya Kitanzania. Kenya na Uganda wanayo na mambo yanakwenda swadakta tu.
Viongozi wetu wa dini wangetangiza uhalisia na uungwana badala ya Hulka na Assumptions.
Mh.Pinda alikuwa na nia njema kabisa juu ya mchakato huu. Lakini wachache tu ndio wanataka kufanya yakwao.
Watanzania wataikumbuka dhamira nzuri ya PINDA. Na tunapaswa kukumbuka kuwa, at the end of the time, hakuna mwenye uwezo wakuzuia matashi halisi ya Imani(ref.Kadhi's Court). Ni mahakama isiyo na shida kijamii.
Tuwe waungwana tu ktk hili.
Ni kwasababu MOU si kwa ajili ya taasisi za imani moja tu.Naomba mtu anifafanulie ni kwa vipi Uanzishwaji na uendeshwaji wa Mahakama za Kadhi unashabihiana kimuundo na kisheria na MoU katika baadhi ya hospital zilizo chini ya jumuia za kikristo nchini
Swala limepelekwa mahakamani na Mch.Mtikila..hivyo basi bunge halina uwezo tena wa kuupitisha huu muswaada.Tupo mahala pabaya..kila mmoja wetu kwa imani yake tumuombe MWENYEZIMUNGU atuvushe hapa.Tuache mzaha ktk jambo hili la imani.
Profesa Lipumba aliunga mkono tamko la Maaskofu wa UKAWA,sasa aunge mkono na tamko hili la Masheikh ili akamilishe unafiki wake wa kuwafurahisha wanandoa wake Chadema
Profesa Lipumba aliunga mkono tamko la Maaskofu wa UKAWA,sasa aunge mkono na tamko hili la Masheikh ili akamilishe unafiki wake wa kuwafurahisha wanandoa wake Chadema
Kama unajua kutafakari uwezi kusema ivyo kwaiyo ccm itaongoza kwa sababu ya wana nchi? Au kwa sababu ya waislam tafakari kabla ya kuandika
Hazikithi,huko mahakama kuna sheria za kiislamu kuhusu mirathi na ndoa.kwani mahakama zilizopo hazikidhi mahitaji yenu nyie ndugu zetu waislamu?????? na ni kwa kiwango gani hazikidhi hizo haja zenu????
Pia, hamuoni kama mtaleta unyanyasaji na ubaguzi katika nchi yetu????
Someone should have oppened a case against the Church to stop it to medle and interfere in Katiba process.
Hospital inahudumia wananchi kwa malipo,yet serikali ilipe wafanyakazi mshahara.
mahakama ya kadhi inahudumia waislamu ambao pia ni wananchi bure,kipi cha ajabu serikali ikilipa gharama za kuendesha?.
je mapato ya hospitali za misheni yanakwenda serikalini ama mifukoni mwa maaskofu?
Kwani madoctor wa bugando na kcmc nani anawapa mshahara?
Hili ligi kwa msaada na uratibu wa Jakaya Mrisho Kikwete.hili tamko tulilitegemea sasa ni mwendo wa matamko
Profesa Lipumba aliunga mkono tamko la Maaskofu wa UKAWA,sasa aunge mkono na tamko hili la Masheikh ili akamilishe unafiki wake wa kuwafurahisha wanandoa wake Chadema
Jamani sijui hamuelewi.....HATUITAKI HYO MAHAKAMA. Anzisheni na muiendeshe wenyewe.
Huitaki ww nani ktk inch hii?Hatuitaki mahakama ya kadhi vinginevyo ccm mnaandaa machafuko katika taifa hili