johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,113
Pamoja na mapungufu ya Godbless Lema Lakini angalizo kwa ndugu zake Waislamu limebeba Uzito wake
Utakuta Wanazuoni wa Kiislam walioko magerezani kwa kesi za ugaidi watetezi wao huwa ni Wakristo na wala siyo Waislamu wenzao hali inayopelekea wengine kufungwa na kunyongwa
Kwa maana nyingine Lema amesema si vema Mujahideen kuwa Chawa wa binadam bali muwe Chawa wa Allah
Hata machafuko ya Mwembechai aliyeyazima ni Mgalatia Augustine Mrema rip
Tumvumilie Lema kwa Unabii wake
Sabato njema 😄
Utakuta Wanazuoni wa Kiislam walioko magerezani kwa kesi za ugaidi watetezi wao huwa ni Wakristo na wala siyo Waislamu wenzao hali inayopelekea wengine kufungwa na kunyongwa
Kwa maana nyingine Lema amesema si vema Mujahideen kuwa Chawa wa binadam bali muwe Chawa wa Allah
Hata machafuko ya Mwembechai aliyeyazima ni Mgalatia Augustine Mrema rip
Tumvumilie Lema kwa Unabii wake
Sabato njema 😄