BabaH
Senior Member
- Jan 25, 2008
- 103
- 8
Anasema kuendelea kukaa kimya kungepelekea watanzania kuamini propaganda za Mengi dhidi yake na yeye sasa hakai kimya tena kama mjumbe wa NEC na mtu anayeaminiwa na wananchi wa Igunga na taifa kwa ujumla kwa uchafu anaopandikiziwa na Bwana Mengi.
mwambie nikiwa kama mmoja wa wananchi wa Tanzania, simwamini kwa njia yoyote ile na najua kuwa yeye ni mwizi mkubwa wa mali zetu, hivyo basi asijumuhishe kuwa wanachi wato tunamwamini, sio kweli hao ni UVCCM tabora ndio wanaomwamini kwa kutaka kusaliti taifa letu
Fisadi mkubwa wewe