Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,294
- 8,327
Anasema yeye na familia yake wameajiri watanzania takribani 6,000 na wanawalipa vizuri na hawalalamiki na TRA wanaweza kuthibitisha.
Anasema Mengi kumtuhumu kuwa ana akaunti nje ya nchi ni uwongo kwani hata yeye Mengi ana akaunti nje ya nchi.
Anasema Mengi anadai wao wameanzisha magazeti yenye dhamira ya kumchafua lakini naye vilevile ameanzisha magazeti kama hayo, yeye amepata wapi fedha za kufanya hivyo?
Anasema Mengi kumtuhumu kuwa ana akaunti nje ya nchi ni uwongo kwani hata yeye Mengi ana akaunti nje ya nchi.
Anasema Mengi anadai wao wameanzisha magazeti yenye dhamira ya kumchafua lakini naye vilevile ameanzisha magazeti kama hayo, yeye amepata wapi fedha za kufanya hivyo?