Tamko la Rais Kikwete juu ya Tukio la Arusha

Mimi napita tu ila maneno yetu tunayoyatamka kumbuken kila kiongozi wa nchi ni mungu kamuweka pia anahusika. Sitaki kuwa mkoma kama Miriam kwenye biblia haya maneno yetu ipo siku tutatoa hesabu. Mie mgeni jamii forum hodiiiiiii mpaka ndani

Dunia imeshuhudia madictator kama Adolf Hitler,Joseph Stalin,Idd Amini.....je viongozi wote huwekwa na Mungu? I doubt
 
Hata mauaji ya Padri Mushi aliyapokea kwa masikitiko, Kujeruhiwa padri Mkenda alipokea kwa masikitiko, kuchomwa moto makanisa amepokea kwa masikitiko!! Sijui nini ambacho hajapokea kwa masikitiko, labda alichopokea kwa furaha ni ile Video ya Ustaadh Ilunga ya mauji ya sheikh Rogo inayohamasisha kuua wakatoliki.

Kikwete matamko yako tumeyachoka sasa ni wakati wa kuchukua hatua za kukomesha mauaji, la sivyo wakristo tutaamua kujilinda wenyewe dhidi ya maadui zetu
kumbe maadui zenu mnawafahamu alafufu mnakaa kimya,mnamlaumu prezedaa bure.kazeni msuli mpambane nao.
 
We unayepondea, tafadhali naomba uniandikie Speech ambayo ungeitoa wewe tuone kama wanaJF wataona haina kasoro.
Wanafunzi wa sekondari ya facebook mmejaa sana humu siku hizi..
 
Tunataka vyombo vyake vya usalama viache kufanya kazi za kisiasa zaidi na kutumiwa na wanasiasa zaidi kwa manufaa ya vyama,wanapenda kujihusisha kukamata vijana wanaojitafutia riziki zao kihalali(bodaboda) ili kupata kujiongezea kipato cha haramu,wanaacha kufanya doria na kukaa maeneo ya kusubiri magendo tu,ukienda horohoro utakuta gari kama 6 za polisi zinafanya nn zote? Njia ya pangani ktk muungano na zanz utazikuta nako kuna nn? Acheni kupenda kazi za maslahi kwenu zaidi,fanyeni kazi manufaa ya usalama wa taifa zaidi
 
Hilo tamko wala si lake, Sema rweyemamu kamuandikia, Kwani mnadhani Ana uwezo hata wha kufikiri kwa jinsi hiyo
 
Sasa Wanamapinduzi mulitaka rais kikwete asemeje? kama si kupokea kwa mshituko, mulitaka apokee habari kwa njia gani na watu wapo kazini kutafuta hawo watu waliosababisha ulaji wa mkate wa bwana yesu uakhirike? Rais wetu mpendwa upo sawa ila kule Zanzibar uliagizishia FBI kutoka Washington DC na kutoa ile michoro yenye kofia ya kiislamu angalau mara hii waje watowe michoro ina misalaba shingoni inaninginia.
 
kumbe maadui zenu mnawafahamu alafufu mnakaa kimya,mnamlaumu prezedaa bure.kazeni msuli mpambane nao.

Huwezi kupambana na maadui zako kwenye nchi yenye utawala wa sheria, kama kuna mbaya wako wapo polisi wenye mamlaka ya kushugulikia wahalifu. We kama una mawazo hayo nenda Congo kwa M23 ambako hakuna serikali halali na utawala wa sheria. Sisi tunamlaumu Kikwete kwa kuwa ndio amiri jeshi mkuu
 
alivyouawa kamanda baro wa mwanza ilitoka amri ya kukamatwa wauaji,haikupita muda walikamatwa.sasa matukio kama haya mpaka sasa hakuna hata mmoja aliekamatwa.je ni uzembe wa jesh la polisi? Au wanabagua matukio yapi watilie manani?
 
"Rais Kikwete ameagiza vyombo vya usalama nchini kumsaka mtu au watu waliohusika na kitendo hicho kiovu na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria."

kwani asipoagiza hawatafanya kazi!! tunataka kauli ya "Ki-raisi"!
 
Ndugu wakristo sipendi nionekane kuwa na shabiki wa udini la hasha, lakini kwa usalama wa wakristu ni bora wakajitenga na waislamu ili tuone watakachofaidi kwa maana kila siku wakristo ndiyo wanaomwaga machozi kutokana na vitendo wanavyofanyiwa na waislamu.
 
Habar nduguzanguni... Mimi nipo arusha ukweli ni kwamba kwenye kanisa kulikuwa na sintofaham baina ya aoo viongozi.... Ili kutaka uongozi ndipo mmoja wa viongoz baba askofu (jina linahifadhiwa) kuamuru vjana waovu kufanya tukio ilo la kiovu na kihalifu....

Hebu weka maelezo ya kutosha otherwise habari inakosa credibility ya kuaminiwa.
 
kwakweli hii inatia huzuni sana, tumekuwa na raisi wa kutoa matamko kila siku wakati watu wanakufa bila kusema hatua gani ichukuliwe? ikiwa yeye ndiye muasisi wa hili swala? damu hii ya watu wasiokuwa na hatia itamtafuna Mungu tupe amani ndani ya mioyo yetu watanzania wote Amen!
 
Nguvumoja,
Kwa n
Bahati mbaya hamjawekewa hotuba kamili ya Dr. slaa siku ya Tarehe 5 January 2011, na watu wengi wamebaki kushabikia sehemu tu ya kauli iliyotolewa katika hotuba. Narudia ni jukumu la Kiongozi wa kisiasa, kuionya Serikali kuhusu mwenendo wa uendeshaji wa nchi. Ndio maana nimewawekea kifungu cha Sheria, Penal Code cap.16 ili uone majukumu ya viongozi wa kisiasa katika kuionya, kuitahadharisha Serikali. Tulimweleza JK, unaweza kuwapiga mabomu Dr Slaa na Ndesamburo na wenzao, lakini, adui wako hasa ni umaskini uliokithiri, ahadi ya Maisha bora kwa kila Mtanzania uliyoshindwa kutekeleza, shule mbovu, Hali mbaya ya maji na Hali mbaya ya miundo mbinu ya Afya. Kama anatupiga mabomu kutokana na haya tunayoyasema JK ajue kuwa kwa mfumo huu na muundo huu "nchi haitatawalika tena" Leo, kesho na kesho kutwa nitasimamia kauli hiyo hadi hapo, JK, Serikali yake watakaporekebisha na kuondoa maafa haya makubwa yanayowapata wananchi wetu wakati Taifa letu ni Tajiri kupindukia. Tena mbaya zaidi Meno ya Tembo yanaondoka ten a kupitia bandari ambako TISS wako kibao, Twiga wanakunjwa shingo na kuingizwa kwenye ndege, na wananchi wanaendelea kuteseka. Kwa mtindo huu kwa kweli nchi itaendelea kutotawalika. Hili ni jukumu langu kilisema, na si kazi yangu kucheka au kushangilia wakati Taifa linaangamia.

maelezo haya hata chembe ya uhusiano na kauli yako ya Tanzania haitotawalika. Najua unajitahidi kujivua uhusika wako katika hili ila ni mjinga tu ndie atakukubalia maelezo yako meupe kama haya. Hivi kupigwa mabovu wewe kuna uhusiano gani na kutotawalika. Hivi misuse of resources, corruption, and so on ndio sababu ya vuguvugu la udini kuenea baada ya uchaguzi wa 2015? Ninachojua wananchi wakizidiwa na uchungu wa maonevu huingia barabarani na kuandamana kama njia ya kufikisha ujumbe wao vipi mbona twaona vita ya udini?.
 
Back
Top Bottom