taffu69
JF-Expert Member
- Feb 26, 2007
- 2,094
- 538
utaishia kutukana tu mtu mzima unaongea kiswahili cha hovyo ukomo ndiyo nini,kwa taarifa yako uelewa wangu naweza hata kukuweka darasani na kukufundisha siyo wa hovyo kama wewe unayetumika hata bila kujua kwa nini unatumika.
Kama hata neno rahisi kama ukomo kwako linakuwa ni msamiati mgumu; basi ni vyema ukaendelea kusotea posho hapo Lumumba kwani huo ndiyo upeo wako.