hii move inaelekea kubaya sana usikivu wa serilkali upo wapi? mkuu wa nchi hajui aseme nini tulipoambiwa hafai tulishupaza shingo zetu
Mkuu wa nchi anatafuta hawezi kuwa na la kusema, maana move kama hizi huzisema kupitia wazee fulani fulani (akina Iddi Simba - yupo rumande, na wazee wengine hasa wa Dar wameisha mstukia Mkuu, nasikia yupo Dodoma labda anataka kuwatumia hao, ila bado mkuu anatafuta ni wazee wa mji gani na wa aina gani atawatumia kulihutubia taifa kupitia wao. Let's wait