Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,321
Binafsi siafiki kupelekwa nje,labda wakaombe ufadhili katika balozi za nje ili wao ndo wampeleke and in that way it will bw easier kwa hao jamaa kumlinda akiwa huko nje. Hawa Wao-M ni hatari sana wanaweza kumfatilia hukohuko nje.
Naomba mgomo uwe MKUBWA SANA mpaka tuone hawa akina Pinda na wenzake viburi vyao vinaishia wapi.
Eti wagonjwa wapelekwe Lugalo?Hivi hiyo Lugalo ina madaktari wangapi?
Naomba mgomo uwe MKUBWA SANA mpaka tuone hawa akina Pinda na wenzake viburi vyao vinaishia wapi.
Eti wagonjwa wapelekwe Lugalo?Hivi hiyo Lugalo ina madaktari wangapi?