Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Hapa sasa ndo kifo cha magamba make Nape ajiandae kujibu maswali magumu juu ya mapacha wa3,huyu Vasco kweli ni 'changanya za kwako',sasa balaza la mawazili ni ccm tupu walipokaa wakaona mafuta ya taa yapande bei,leo kwenye cc anawaongoza wenzie waseme mafuta ya taa yashushwe bei,sasa sijuhi huku alimwogopa nani kubadilika hivi ama anaonesha uzuzu wa cabinet yake kwamba hawakumshauri rais wao?
a contradicting decision,na ndo maana hata mawaziri wake hawamwelewi kwa maana anakaa nao wanaelewana hivi alafu akienda huku anaongea vinginevyo,kumbe yeye ndo chanzo namba1 cha serikali yake kupwaya hivi na hata kama ni hujuma yeye ndo anajihumu,maamuzi ya hivi nayakumbuka kama ile ishu ya bomoabomoa pale Ubungo,uzinduzi hoteli pale Arusha n.k
Nalazimika kukiri kwamba kwa stairi hii si ajabu hii nchi yetu ikawa imeuzwa kiasi ambacho hatujajua na tukija kujua tutakuja kujuta na tutalia sana!
a contradicting decision,na ndo maana hata mawaziri wake hawamwelewi kwa maana anakaa nao wanaelewana hivi alafu akienda huku anaongea vinginevyo,kumbe yeye ndo chanzo namba1 cha serikali yake kupwaya hivi na hata kama ni hujuma yeye ndo anajihumu,maamuzi ya hivi nayakumbuka kama ile ishu ya bomoabomoa pale Ubungo,uzinduzi hoteli pale Arusha n.k
Nalazimika kukiri kwamba kwa stairi hii si ajabu hii nchi yetu ikawa imeuzwa kiasi ambacho hatujajua na tukija kujua tutakuja kujuta na tutalia sana!