Mzee Lowassa kwenye Kanisa lile ulilolipora Uwanja pale Mbezi , tulimwoba Mungu na ametusikia Juu ya Amani.
Tena tuliimba na wimbi wa Taifa kwa machozi.
Huna jinsi uende zako tu maana unavuna ulichopanda
HALI HALIS YA WATANZANIA SASA HIVI
kumepooza kila mahali
Sio sokon sio mitaan
Sio majumban na wala sio katka taasis yoyote ile iwe ya uma au ya binafsi
ANAEDAIWA KUWA NI MSHINDI WA URAIS (MAGUFULI) LAKIN WATU WAKO KIMYA KAMA WAMETANGAZIWA HABAR YA MSIBA
Ingia mitandao ya jamii
Fb
Wasap
Etc
Kuko kimya
Watu hawana mudi ya kuchat
Baadh yao hawatak hata kusikia mdudu anayetwa siasa🙉🙉
Tulitegemea kuwe na shamra shamra za hapa na pale baada ya kusikia kutangazwa kwa mshind wa urais
Hii kidogo inakufanya ufikirie mara mbili coz kushinda tu kwa baadh ya wabunge/madiwan kumekuwa na shamra shamra za furaha hadi inafikia polis wanatumia silaha kuwatawanya
Lakin rais
I min mkuu nchi na amiri jesh mkuu anatangazwa lakin watu kimya kama ndo wametangaziwa KIAMA KESHO🙆🏿🙆🏿
SASA SWAL LA KUJIULIZA NI JE NI WATU GAN WALIOMCHAGUA MAGUFUL IKIWA ASILIMIA KUBWA YA WATZ WAKO KATKA HUZIN?
HII INAASHIRIA NN?
TULITEGEMEA MUDA HUU KUWE KUNA SHANGWE ZA HAPA NA PALE ZA FURAHA ZA KUPOKEA USHIND LAKIN HAL HIYO NI TOFAUT KABSA
HII INAMAANA GAN?
KATKA HIL HAUHITAJ DIGRII WALA DIPLOMA ILI KUELEWA KUWA TUME(NEC) WAMETANGAZA MATOKEO WALIUOYAANDAA WENYEWE NA SIO MATOKEO YA KURA WALIZOPIGA WATANZANIA😓😓
Tanzania Tanzania?2
Nakupenda kwa moyo woteee
Nchi nzuri Tanzania🎶
Karibu wasio na kwaooo wenye shida na taabu kukimbizwa na waloweziii🎤