Siku za mwizi 39 na ya 40 ya mwenye haki. Ninaamini ile ya 40 imefika. Ushauri msikurupuke, zoezi likamilike lakini pia msidanganyike. Kumbuka ni matayarisho ya muda mrefu "ushindi ni lazima" hata kama wananchi hawataki. Kulazimishwa tafiti andalizi za ushindi huu wa dhuluma za REDET na Synovete. Kama mwandishi wa Raia mwema alivyosema ni uchaguzi kati ya ufisadi na uadilifu na kama tunavyojua ufisadi ni ushetani na kazi za shatani sote tunazijua. Oneni ni nani waliohusika na wanaolazimisha ushindi huu. Wale wenyeutumishi uliotukuka hawapo.
Hata ukpmbozi ulipomfikia binadamu shetani alighadhabika sana. Ghadhabu ya mafisadi ndiyo hiyo, walikaa kimya lakini walijua watafanya nini na lini, nawanadhani hawaonekani, wapo kwenye giza nene, ni muhimu sana tusiache kuandika historia. Kila tendo, neno linanafasi kubwa katika dondoo za historia hii.
Tuiombee nchi yetu na watu wetu Mungu awaepushe na madhara.
Hata ukpmbozi ulipomfikia binadamu shetani alighadhabika sana. Ghadhabu ya mafisadi ndiyo hiyo, walikaa kimya lakini walijua watafanya nini na lini, nawanadhani hawaonekani, wapo kwenye giza nene, ni muhimu sana tusiache kuandika historia. Kila tendo, neno linanafasi kubwa katika dondoo za historia hii.
Tuiombee nchi yetu na watu wetu Mungu awaepushe na madhara.