alipokuwa upinzani tambwe hizza aliwahi kutamka kuwa kama akirudi ccm basi alale na mama yake,kwa mila za kiafrika hilo ni tusi na laana kubwa,sasa tambwe yupo ccm ametokea upinzani,je tambwe ameshalala na mama yake?anaweweseka,anahukumiwa na historia na ndio maana amegeuka kuwa mropokaji,tumpuuze