tambwe hizza ni wa kupuuzwa

masasi

Member
Aug 3, 2010
48
0
alipokuwa upinzani tambwe hizza aliwahi kutamka kuwa kama akirudi ccm basi alale na mama yake,kwa mila za kiafrika hilo ni tusi na laana kubwa,sasa tambwe yupo ccm ametokea upinzani,je tambwe ameshalala na mama yake?anaweweseka,anahukumiwa na historia na ndio maana amegeuka kuwa mropokaji,tumpuuze
 
alipokuwa upinzani tambwe hizza aliwahi kutamka kuwa kama akirudi ccm basi alale na mama yake,kwa mila za kiafrika hilo ni tusi na laana kubwa,sasa tambwe yupo ccm ametokea upinzani,je tambwe ameshalala na mama yake?anaweweseka,anahukumiwa na historia na ndio maana amegeuka kuwa mropokaji,tumpuuze


Andika vizuri majina ya watu
 
alipokuwa upinzani tambwe hizza aliwahi kutamka kuwa kama akirudi ccm basi alale na mama yake,kwa mila za kiafrika hilo ni tusi na laana kubwa,sasa tambwe yupo ccm ametokea upinzani,je tambwe ameshalala na mama yake?anaweweseka,anahukumiwa na historia na ndio maana amegeuka kuwa mropokaji,tumpuuze

Kama aliahdi hivyo bila shaka alitimiza
 
tambwe hiza ni kabila gani (maana hapa tz hakuna mtu yeyote miongoni mwa makabila yaliyopo tz anayeweza kutamka-kulala na mamaye) na kiwango chake cha elimu ni kipi na umri wake ni upi. MWENYE CV YAKE AIMWAGE HAPA
 
Unajua siasa ni kilevi, inaonekana alipotamka maneno hayo ilikuwa imemkolea sana, sasa inabidi aulizwe kuhusu hii ahadi pengine amesha itekeleza.
 
Kama alisema hivyo na amerudi CCM basi atakuwa amejilaani mwenyewe kwa maneno yake mwenyewe; na ndo maana anaongea mambo mbofumbofu tu. Kumbe hayuko sawa kichwani!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom