mitishamba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 697
- 111
Leo hii watu mnalalamika kuhusu wachaga na tabia zao. Amini nawaambieni tamaa za hawa jamaa hazijaanza leo au jana. Tangu enzi za mangi mareale alimsaliti mwalimu wakati wa kupigania uhuru. mwalimu akisema hivi yeye anakwenda kuchongea kwa wakoloni kiasi kwamba akafanya shughuli nzima ya kupigania uhuru iwe ngum sana. lengo lake ilikua eti yeye ndo awe topu. mwisho wa siku alishindwa na kuaibika vibaya mno.