Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Unaudhibitisho gani alimsaliti mwalimu?
Na kumsaliti mtuu ni TAMAA?
Kuna tamaa za aina 2, tamaa ya maendeleo na isiyo ya maendeleo.
SASA: Jadili kwa nn tuna maendeleo ya hali ya juu mpaka yakakuumiza akili ukaanza kujenga hoja hewa?
Ushari: Ukiona mtu ana endelea, roho isi kuume ila jifikirishe zaidi.
Na kumsaliti mtuu ni TAMAA?
Kuna tamaa za aina 2, tamaa ya maendeleo na isiyo ya maendeleo.
SASA: Jadili kwa nn tuna maendeleo ya hali ya juu mpaka yakakuumiza akili ukaanza kujenga hoja hewa?
Ushari: Ukiona mtu ana endelea, roho isi kuume ila jifikirishe zaidi.