Tamaa ya Uongozi: Tanzania iwe na Marais Wawili kwa Sababu Idadi ya Watanzania Imeongezeka

Duh! Mbeya naifahamu sana, in and out. Nilisoma Iyunga Sekondari, kuna wakati nilikuwa mtaalam mshauri wa kampuni moja ya kigeni ambayo ilikuwa Mbeya kabla ya mkoa kigawanywa. Hakuna mwaka ambao sijawahi.kufika Mbeya.

Naifahamu Dar kikamilifu sana, nimeishi ma bado nina makazi Dar.

Naifahamu sana Mwanza, nimeishi na nina makazi pia.

Naifahamu sana Arusha, nimeishi na nina makazi Arusha.

Dodoma, Tanga, Tabora, Iringa, Morogoro, Mtwara nazitembelea mara kwa mara.

Ukubwa wa jiji la Mbeya unayazidi kwa kiasi gani majiji kama Arusha, Dodoma, au Tanga?

Unajua ukubwa wa Mwanza na uwingi wa watu wa Mwanza?

Population:

Dar es Salaam 7,405,000
Mwanza city 1,245,000
Mbeya City 620,000
Arusha city 519,000
Tanga City 245,000
Dodoma city 324,347

Kwa statistics hizi, kama kigezo ni population pekee, Mbeya kama itakuwa na majimbo 2, Mwanza itatakiwa kuwa na majimbo mangapi? Dar itatakiwa kuwa na majimbo mangapi?
Unapafahamu Tabora kwa Masempele wewe?Kwa Ally Maktubu?Kwa Chizi Mpumunti?Kilabu cha Gondwe?Okay.Tuhamie Rau Madukani Unapafahamu kwa Mwagongo Iringa wewe?Kwa Mwamoto Uyole?Hebu acha utani.Unapafahamu Makanyagio kwenye "mabanzi" kwa Chuwa au Nelkon?Acha utani wewe.Unaufahamu ulanzi wa Mtwivila na mapera ya Ikonongo?🙏😂😂😂😂Be easy!Nakutania tu!
 
mbeya ni kubwa. kwa kifupi nideclare interest, eneo analotaka limegwe Tulia, nimejenga. kutokana na ukubwa wa jiji la mbeya, Uyole haina miundombinu mizuri, hakuna barabara za lami uyole yote (zile za mitaa), kwanini lisimegwe au shida ni Tulia au shida ni kwamba kuna mtu atafaidika kuwa mbunge? kwa taarifa yenu, kama halitamegwa hata huyo Sugu wenu hatakaa awe mbunge mbeya. Tulia ana uhakika na kushinda kwasababu zifuatazo.

1. Ameanzisha Tulia Trust mbeya yote, anakopesa pesa kama saccos na ameshika masikio wanawake karibia wote. hadi wanaume wanakopa kwa riba nafuu.

2. maendeleo kipindi cha sugu na kipindi cha Tulia ni tofauti. wanaoijua mbeya watacomment. tulia ana faida kuliko sugu au chadema yeyote.

3. tulia amekopesa bajaji karibia 500 na bodaboda rundo. hao vijana wanaishi mjini kwasababu yake pale mbeya.

4. kama ni habari ya umafia, Tulia ana pesa nyingi sana zaidi ya watu wasivyomjua, ni bilionea mkubwa.

5. Hoja hii haijaanza mwaka huu, imeanza miaka 3 iliyopita. kwa wakazi wa mbeya wanajua limekuwa likiongelewa na wananchi kwa muda mrefu, Tulia amewasilisha tu.

6. kwa maslahi ya uwakilishi bungeni na pengine mbeya yetu ipate kuhudumiwa, ni faida jimbo likimegwa. ni faida kwa chadema pia kwasababu kama halitamegwa, hakuna wa kushindana na Tulia. sugu anapendwa na vijana wahuni wa soko la sido na mwanjelwa tu, ila watu wazima na wenye akili wote wanamtaka Tulia. pia, kama kuna mtu anaamini Tulia amesajesti hivyo kwasababu anamuogopa Sugu, anakosea sana.
Ndugu yangu umeandika upuuzi.

Achana na fikra za nani atakuwa mbunge au nani atagombea au kushinda.

Hivi unaamini kwamba Uyole haina barabara kwa sababu mbunge ni mmoja?

Kama hujui, kigezo kikubwa cha mgao wa pesa za barabara za miji, ni jumla ya kilometer za barabara, siyo idadi ya wabunge au majimbo. Ingekuwa wabunge wanafanya kazi ya kulima barabara, ningekuunga mkono.

Licha ya kuwa na wabunge wawili, jiji la Mwanza, barabara za vumbi zipo mpaka maeneo ya karibu kabisa na city centre.
 
Tutaweza kuwahudumia?Ibua vyanzo vya tozo kwanza mkuu.
Mbona zipo nchi nyingi tu zenye watu wasiofika hata 20,000 wanawahudumia marais wao?

Hata huko Russia zipo Republic ndani ya Russia Federation na wana marais wao. Hata sisi inawezekana.

Tugawane mikoa kila mkoa uwe na rais wake na bunge lake. Kisha tunakuwa na bunge la Federation ambalo ndilo linachagua Rais wa The Federal Republic of Tanzania.
 
Unapafahamu Tabora kwa Masempele wewe?Kwa Ally Maktubu?Kwa Chizi Mpumunti?Kilabu cha Gondwe?Okay.Tuhamie Rau Madukani Unapafahamu kwa Mwagongo Iringa wewe?Kwa Mwamoto Uyole?Hebu acha utani.Unapafahamu Makanyagio kwenye "mabanzi" kwa Chuwa au Nelkon?Acha utani wewe.Unaufahamu ulanzi wa Mtwivila na mapera ya Ikonongo?Be easy!Nakutania tu!
Mwagito, hapo nimekupata. Nakumbuka kampeni za ubunge kati ya Mwamasika na Major jenerali Msilu.

Mpiga debe wake akawa anawaambia wapiga kura kwenye vikundi vidogp vidogo:

Mlavage, siyo ukuchagula kamunu kagafugafu.

Kule Tabora kwa watani zangu wale ambao huwa wanajua kisukuma/kinyamwezi ndiyo Kiswahili:

Jamaa alipoulizwa kama Kiswahili anakifahamu, akajibu, 'ikiswahili?', akamjibu, ndiyo maaanisha kama unaweza kuongea kiswahili, yeye akamjibu, 'ukuteleleja duhu'. Akaambiwa, haya elezea. Jamaa akaanza, 'anakuja nanolaga duhu', akijua kuwa hapo anaongea kiswahili.

Bee, ve uliva kwii?
 
Tutaweza kuwahudumia?Ibua vyanzo vya tozo kwanza mkuu.
Check hapa.


Russia is a federal state composed of 85 federal subjects, which include 22 republics. Here is a list of the 22 republics in Russia, in alphabetical order:

1. Adygea Republic
2. Altai Republic
3. Bashkortostan Republic
4. Buryatia Republic
5. Chechnya Republic
6. Chuvashia Republic
7. Dagestan Republic
8. Ingushetia Republic
9. Kabardino-Balkaria Republic
10. Kalmykia Republic
11. Karachay-Cherkessia Republic
12. Karelia Republic
13. Khakassia Republic
14. Komi Republic
15. Mari El Republic
16. Mordovia Republic
17. North Ossetia-Alania Republic
18. Sakha (Yakutia) Republic
19. Tatarstan Republic
20. Tuva Republic
21. Udmurtia Republic
22. Altai Republic
 
Mbona zipo nchi nyingi tu zenye watu wasiofika hata 20,000 wanawahudumia marais wao?

Hata huko Russia zipo Republic ndani ya Russia Federation na wana marais wao. Hata sisi inawezekana.

Tugawane mikoa kila mkoa uwe na rais wake na bunge lake. Kisha tunakuwa na bunge la Federation ambalo ndilo linachagua Rais wa The Federal Republic of Tanzania.
Hili nalo tulitazame.
 
Mwagito, hapo nimekupata. Nakumbuka kampeni za ubunge kati ya Mwamasika na Major jenerali Msilu.

Mpiga debe wake akawa anawaambia wapiga kura kwenye vikundi vidogp vidogo:

Mlavage, siyo ukuchagula kamunu kagafugafu.

Kule Tabora kwa watani zangu wale ambao huwa wanajua kisukuma/kinyamwezi ndiyo Kiswahili:

Jamaa alipoulizwa kama Kiswahili anakifahamu, akajibu, 'ikiswahili?', akamjibu, ndiyo maaanisha kama unaweza kuongea kiswahili, yeye akamjibu, 'ukuteleleja duhu'. Akaambiwa, haya elezea. Jamaa akaanza, 'anakuja nanolaga duhu', akijua kuwa hapo anaongea kiswahili.

Bee, ve uliva kwii?
Unajua una kitanda chako Milembe na tunakuangalia tu?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏🙏Hongo hongo belaga!
 
Check hapa.


Russia is a federal state composed of 85 federal subjects, which include 22 republics. Here is a list of the 22 republics in Russia, in alphabetical order:

1. Adygea Republic
2. Altai Republic
3. Bashkortostan Republic
4. Buryatia Republic
5. Chechnya Republic
6. Chuvashia Republic
7. Dagestan Republic
8. Ingushetia Republic
9. Kabardino-Balkaria Republic
10. Kalmykia Republic
11. Karachay-Cherkessia Republic
12. Karelia Republic
13. Khakassia Republic
14. Komi Republic
15. Mari El Republic
16. Mordovia Republic
17. North Ossetia-Alania Republic
18. Sakha (Yakutia) Republic
19. Tatarstan Republic
20. Tuva Republic
21. Udmurtia Republic
22. Altai Republic
Hayo ni majina tu. Wanachokiita republics, hapa kwetu ni sawa tunavyoita mikoa.

Russia ni kubwa karibia mara 20 ya Tanzania.
 
Check hapa.


Russia is a federal state composed of 85 federal subjects, which include 22 republics. Here is a list of the 22 republics in Russia, in alphabetical order:

1. Adygea Republic
2. Altai Republic
3. Bashkortostan Republic
4. Buryatia Republic
5. Chechnya Republic
6. Chuvashia Republic
7. Dagestan Republic
8. Ingushetia Republic
9. Kabardino-Balkaria Republic
10. Kalmykia Republic
11. Karachay-Cherkessia Republic
12. Karelia Republic
13. Khakassia Republic
14. Komi Republic
15. Mari El Republic
16. Mordovia Republic
17. North Ossetia-Alania Republic
18. Sakha (Yakutia) Republic
19. Tatarstan Republic
20. Tuva Republic
21. Udmurtia Republic
22. Altai Republic
Siyo kwamba wana watemi tu halafu kuna prezidaa?
 
Hayo ni majina tu. Wanachokiita republics, hapa kwetu ni sawa tunavyoita mikoa.

Russia ni kubwa karibia mara 20 ya Tanzania.
Check hapa

In the Russian Federation, republics are considered to be one of the 85 federal subjects and are granted a certain level of autonomy within the framework of the Russian Federation. The Constitution of the Russian Federation recognizes the right of each republic to self-determination, including the right to their own language, culture, and national identity.

The republics of Russia have a number of powers granted to them under the federal constitution and laws. Some of the key powers of the republics include:

1. The right to create their own constitutions and laws, within the framework of federal law.
2. The right to establish and maintain their own executive, legislative, and judicial branches of government.
3. The ability to collect and manage taxes and other revenue within their territory, subject to certain federal guidelines.
4. The ability to control the use and management of natural resources within their territory.
5. The ability to establish and maintain their own educational and cultural institutions, including schools, universities, and museums.
6. The ability to promote and protect their own national identity, culture, and language.

.
 
wakazi 541,000 ni wengi sanaa kwa akili yako? Je vipi kuhusu jimbo la Geita kijijini lenye wakazi zaidi ya milioni moja? Km kuna wajinga we una upekee. Hao wabunge wanaeda kuwahudumia wananchi majumbani mwao? Mleta uzi ameeleza vizuri bado huwezi kuelewa au mpaka kwa sindano ndiyo utaelewa.
 
Siyo kwamba wana watemi tu halafu kuna prezidaa?
Each republic in the Russian Federation has its own President, who is the head of the republic's executive branch of government. The President is typically elected by the citizens of the republic and serves as the highest-ranking official within the republic's government.

The President of a republic in Russia is responsible for overseeing the implementation of laws and policies within the republic, as well as managing the republic's budget and resources. They also represent the republic in relations with the federal government, other republics, and foreign countries.

It is important to note that the powers and responsibilities of the President of a republic in Russia are not the same as those of the President of the Russian Federation. The President of the Russian Federation is the head of state and holds significant authority over the country's affairs, while the President of a republic is primarily responsible for governing within their own jurisdiction.
 
Duh! Mbeya naifahamu sana, in and out. Nilisoma Iyunga Sekondari, kuna wakati nilikuwa mtaalam mshauri wa kampuni moja ya kigeni ambayo ilikuwa Mbeya kabla ya mkoa kigawanywa. Hakuna mwaka ambao sijawahi.kufika Mbeya.

Naifahamu Dar kikamilifu sana, nimeishi ma bado nina makazi Dar.

Naifahamu sana Mwanza, nimeishi na nina makazi pia.

Naifahamu sana Arusha, nimeishi na nina makazi Arusha.

Dodoma, Tanga, Tabora, Iringa, Morogoro, Mtwara nazitembelea mara kwa mara.

Ukubwa wa jiji la Mbeya unayazidi kwa kiasi gani majiji kama Arusha, Dodoma, au Tanga?

Unajua ukubwa wa Mwanza na uwingi wa watu wa Mwanza?

Population:

Dar es Salaam 7,405,000
Mwanza city 1,245,000
Mbeya City 620,000
Arusha city 519,000
Tanga City 245,000
Dodoma city 324,347

Kwa statistics hizi, kama kigezo ni population pekee, Mbeya kama itakuwa na majimbo 2, Mwanza itatakiwa kuwa na majimbo mangapi? Dar itatakiwa kuwa na majimbo mangapi?
hizi takwimu umezitoa wapi we poyoyo? Acha kujipikia takwimu nenda kasome taarifa ya sensa ya mwaka jana. hivi we mbona huishiwagwi upumbavu? Una shida gani.
 
Unajua una kitanda chako Milembe na tunakuangalia tu?Hongo hongo belaga!
Mpaka siku watakapoibadilisha Milembe kuwa taasisi ya watu wenye high IQ, ndipo kitanda changu kitakuwepo hapo mahali.

Nakuibia siri ndogo sana. Nenda pale UDSM, ukaulize nani alikuwa the second best science faculty student 1999. Halafu nenda pale British Columbia University (Canada), kaulize nani alikuwa best postgraduate geoscience student 2004.
 
Back
Top Bottom