Tamaa ya Uongozi: Tanzania iwe na Marais Wawili kwa Sababu Idadi ya Watanzania Imeongezeka

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,547
41,057
Tanzania ni nchi pekee ambayo vioja haviishi, na vioja hivyo zaidi huletwa na watu wanaoijiita viongozi au Wasomi.

Tanzania ndiyo nchi ambayo unaweza kupata mawazo ya kijinga zaidi kwa mtu anayeitwa doctor au profesa, ya kijinga kuliko unayoweza kuyapata kwa aliyeishia darasa la saba.

Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo sheria, kanuni na hata baadhi ya nafasi hutengenezwa ili mtu fulani apate cheo, siyo kwamba kuna mahitaji. Yaani jimbo linatengenezwa ili tu mtu fulani awe mbunge, siyo kwamba kulikuwa na uhitaji wa kuwa na jimbo la uchaguzi la nyongeza.

Mmesikia huko Mbeya, imekuja huko Dar, na tutaendelea kusikia.

Eti Mbeya igawanywe iwe na majimbo mawili ya uchaguzi kwa sababu idadi ya watu imeongezeka! Upuuzi mkubwa. Hivi ni wapi ambako watu hawaongezeki? Kama kuongezeka kwa watu ndiyo kigezo pekee cha kupngeza idadi ya wabunge, basi itabidi tuongeze na idadi ya MARAIS kwa sababu idadi ya watanzania imeongezeka sana. Kama eneo la jimbo limebakia lile lile, uhalali wa kuongeza jimbo jingine unatoka wapi?

Watanzania tunaongezeka kila siku, ina maana kila mwaka tutakaokuwa na uchaguzi tutakuwa runaongeza idadi ya majimbo ya uchaguzi?

Uongeze idadi ya wabunge kwa sababu idadi ya wananchi imeongezeka, kwani hao wabunge ni madaktari kiasi cha kusema wanazidiwa na idadi ya wagonjwa wa kuwahudumia? Au tuseme hao wabunge ni walimu wa kusema kuwa wamezidiwa na ongezeka la wanafunzi katika darasa?

Kama hatuna akili, tunashindwa hata kutazamia? Hizi nchi ambazo miaka nenda rudi idadi ya majimbo yao ni yale yale, wenyewe hawaongezeki?

Wananchi wanahitaji:

1) Ongezeko la hospitali, madaktari na wauguzi linaloendana na ongezeko la idadi ya watu, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

2) Ongezeko la shule na walimu, linaloendana na ongezeko la idadi ya watoto, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

3) Ongezeko la miundombinu ya usafiri na usafirishaji linaloendana na ongezeko la idadi ya watu na vyombo vya usafiri, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

4) Ongezeko kubwa la uwekezaji litakaloleta ongezeko kubwa la ajira linaloendana na ongezeko kubwa la idadi ya watu, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

5) Ongezeko kubwa la wazalishaji na walipa kodi watakaoongeza mapato ya Serikali, siyo ongezeko la wabunge. Tunahitaji ongezeko la wazalishaji, siyo matumbo na midomo ya walaji. Wabumge ni walaji, siyo wazalishaji.

Katika mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, iwekwe pia sheria inayozuia kuongeza majimbo, isipokuwa kwa sababu ya pekee na ya wazi kama vile Serikali kama itafuta baadhi ya hifadhi kubwa za Taifa na kuzifanya kuwa maeneo ya makazi na shughuli za kiuchumi. Hiyo itazuia wanasiasa hadaa, ambao badala ya kusema kuwa ushindani wa kuupata ubunge jimboni kwake umekuwa mkubwa, anawahadaa watu eti ni kwa sababu idadi ya watu imekuwa kubwa.

Kama idadi ya watu ndiyo kigezo pekee cha kupngeza idadi ya viongozi na wawakilishi, basi pia toa pendekezo la kuwa na ongezeko la idadi ya Marais, Mawaziri Wakuu, Mawaziri na Wakuu wa Mikoa, maana hao pia wanastahili kuhudumia ongezeko hilo la watu.
 
Taifa letu pendwa la Tanzania limepata kuwa na viongozi vilaza licha ya kuwa na visomo vizuri,badala ya msomi kuonesha usomi wake katika kutatua kero za wananchi watu wako bize kuwaza kutawala tu ndio maana waziri mkuu mstafu wa uingereza bwana Tony kasha wahi sema

"Shida kubwa ya viongozi wa Afrika ni kuwaza zaidi uchaguzi kuliko kutatua matatizo ya wananchi"

Uroho wa madaraka kwa viongozi wa Afrika ni desturi iliyo na mizizi ndani ya mioyo yao ndio maana wako tayali kufanya chochote ili wawe viongozi.

"Mwafrika hawezi kujitawala" Botha
 
Tanzania ni nchi pekee ambayo vioja haviishi, na vioja hivyo zaidi huletwa na watu wanaoijiita viongozi au Wasomi.

Tanzania ndiyo nchi ambayo unaweza kupata mawazo ya kijinga zaidi kwa mtu anayeitwa doctor au profesa, ya kijinga kuliko unayoweza kuyapata kwa aliyeishia darasa la saba.

Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo sheria, kanuni na hata baadhi ya nafasi hutengenezwa ili mtu fulani apate cheo, siyo kwamba kuna mahitaji. Yaani jimbo linatengenezwa ili tu mtu fulani awe mbunge, siyo kwamba kulikuwa na uhitaji wa kuwa na jimbo la uchaguzi la nyongeza.

Mmesikia huko Mbeya, imekuja huko Dar, na tutaendelea kusikia.

Eti Mbeya igawanywe iwe na majimbo mawili ya uchaguzi kwa sababu idadi ya watu imeongezeka! Upuuzi mkubwa. Hivi ni wapi ambako watu hawaongezeki? Kama kuongezeka kwa watu ndiyo kigezo pekee cha kupngeza idadi ya wabunge, basi itabidi tuongeze na idadi ya MARAIS kwa sababu idadi ya watanzania imeongezeka sana. Kama eneo la jimbo limebakia lile lile, uhalali wa kuongeza jimbo jingine unatoka wapi?

Watanzania tunaongezeka kila siku, ina maana kila mwaka tutakaokuwa na uchaguzi tutakuwa runaongeza idadi ya majimbo ya uchaguzi?

Uongeze idadi ya wabunge kwa sababu idadi ya wananchi imeongezeka, kwani hao wabunge ni madaktari kiasi cha kusema wanazidiwa na idadi ya wagonjwa wa kuwahudumia? Au tuseme hao wabunge ni walimu wa kusema kuwa wamezidiwa na ongezeka la wanafunzi katika darasa?

Kama hatuna akili, tunashindwa hata kutazamia? Hizi nchi ambazo miaka nenda rudi idadi ya majimbo yao ni yale yale, wenyewe hawaongezeki?

Wananchi wanahitaji:

1) Ongezeko la hospitali, madaktari na wauguzi linaloendana na ongezeko la idadi ya watu, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

2) Ongezeko la shule na walimu, linaloendana na ongezeko la idadi ya watoto, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

3) Ongezeko la miundombinu ya usafiri na usafirishaji linaloendana na ongezeko la idadi ya watu na vyombo vya usafiri, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

4) Ongezeko kubwa la uwekezaji litakaloleta ongezeko kubwa la ajira linaloendana na ongezeko kubwa la idadi ya watu, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

5) Ongezeko kubwa la wazalishaji na walipa kodi watakaoongeza mapato ya Serikali, siyo ongezeko la wabunge. Tunahitaji ongezeko la wazalishaji, siyo matumbo na midomo ya walaji. Wabumge ni walaji, siyo wazalishaji.

Katika mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, iwekwe pia sheria inayozuia kuongeza majimbo, isipokuwa kwa sababu ya pekee na ya wazi kama vile Serikali kama itafuta baadhi ya hifadhi kubwa za Taifa na kuzifanya kuwa maeneo ya makazi na shughuli za kiuchumi. Hiyo itazuia wanasiasa hadaa, ambao badala ya kusema kuwa ushindani wa kuupata ubunge jimboni kwake umekuwa mkubwa, anawahadaa watu eti ni kwa sababu idadi ya watu imekuwa kubwa.

Kama idadi ya watu ndiyo kigezo pekee cha kupngeza idadi ya viongozi na wawakilishi, basi pia toa pendekezo la kuwa na ongezeko la idadi ya Marais, Mawaziri Wakuu, Mawaziri na Wakuu wa Mikoa, maana hao pia wanastahili kuhudumia ongezeko hilo la watu.
ni wajinga tu ndio hawaijui mbeya, ni jiji kubwa sana ila halijapangika. nimeishi mbeya na ni kwetu. kuanzia nanenane 9kwa wale waliofika) kuelekea uyole yote hadi Nsalaga, kuna bonde la watu wengi sana. kama dsm imegawanya, kama mwanza imegawanywa, kwanini isiwe mbeya ili kurahisisha huduma kwa wananchi? imagine dsm ingekuwa na mbunge mmoja kuwakilisha jiji lote, au hata mwanza, ...sasa kama hoja ni uwingi wa watu au ukubwa wa eneo, mbeya jiji ni pakubwa sana ila huwezi kupajua hadi uishi pale.
 
Taifa letu pendwa la Tanzania limepata kuwa na viongozi vilaza licha ya kuwa na visomo vizuri,badala ya msomi kuonesha usomi wake katika kutatua kero za wananchi watu wako bize kuwaza kutawala tu ndio maana waziri mkuu mstafu wa uingereza bwana Tony kasha wahi sema

"Shida kubwa ya viongozi wa Afrika ni kuwaza zaidi uchaguzi kuliko kutatua matatizo ya wananchi"

Uroho wa madaraka kwa viongozi wa Afrika ni desturi iliyo na mizizi ndani ya mioyo yao ndio maana wako tayali kufanya chochote ili wawe viongozi.

"Mwafrika hawezi kujitawala" Botha
Umenena vema. Unakuta mtu ameng'ang'ania uongpzi, kufa na kupona, na hakuna chochote cha maana anachpfanya, lakini anataka aendelee kuwa kiongozi. Upeo hana, ubunifu hana, dhamira ya kuwasaidia watu hana, lakini anataka aendelee kuwa kiongozi. Wakitokea wengine wanaotaka kuwania nafasi ambayo anaishikilia, anatamani hata wafe.
 
Umenena vema. Unakuta mtu ameng'ang'ania uongpzi, kufa na kupona, na hakuna chochote cha maana anachpfanya, lakini anataka aendelee kuwa kiongozi. Upeo hana, ubunifu hana, dhamira ya kuwasaidia watu hana, lakini anataka aendelee kuwa kiongozi. Wakitokea wengine wanaotaka kuwania nafasi ambayo anaishikilia, anatamani hata wafe.
mbeya ni kubwa. kwa kifupi nideclare interest, eneo analotaka limegwe Tulia, nimejenga. kutokana na ukubwa wa jiji la mbeya, Uyole haina miundombinu mizuri, hakuna barabara za lami uyole yote (zile za mitaa), kwanini lisimegwe au shida ni Tulia au shida ni kwamba kuna mtu atafaidika kuwa mbunge? kwa taarifa yenu, kama halitamegwa hata huyo Sugu wenu hatakaa awe mbunge mbeya. Tulia ana uhakika na kushinda kwasababu zifuatazo.

1. Ameanzisha Tulia Trust mbeya yote, anakopesa pesa kama saccos na ameshika masikio wanawake karibia wote. hadi wanaume wanakopa kwa riba nafuu.

2. maendeleo kipindi cha sugu na kipindi cha Tulia ni tofauti. wanaoijua mbeya watacomment. tulia ana faida kuliko sugu au chadema yeyote.

3. tulia amekopesa bajaji karibia 500 na bodaboda rundo. hao vijana wanaishi mjini kwasababu yake pale mbeya.

4. kama ni habari ya umafia, Tulia ana pesa nyingi sana zaidi ya watu wasivyomjua, ni bilionea mkubwa.

5. Hoja hii haijaanza mwaka huu, imeanza miaka 3 iliyopita. kwa wakazi wa mbeya wanajua limekuwa likiongelewa na wananchi kwa muda mrefu, Tulia amewasilisha tu.

6. kwa maslahi ya uwakilishi bungeni na pengine mbeya yetu ipate kuhudumiwa, ni faida jimbo likimegwa. ni faida kwa chadema pia kwasababu kama halitamegwa, hakuna wa kushindana na Tulia. sugu anapendwa na vijana wahuni wa soko la sido na mwanjelwa tu, ila watu wazima na wenye akili wote wanamtaka Tulia. pia, kama kuna mtu anaamini Tulia amesajesti hivyo kwasababu anamuogopa Sugu, anakosea sana.
 
Tanzania ni nchi pekee ambayo vioja haviishi, na vioja hivyo zaidi huletwa na watu wanaoijiita viongozi au Wasomi.

Tanzania ndiyo nchi ambayo unaweza kupata mawazo ya kijinga zaidi kwa mtu anayeitwa doctor au profesa, ya kijinga kuliko unayoweza kuyapata kwa aliyeishia darasa la saba.

Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo sheria, kanuni na hata baadhi ya nafasi hutengenezwa ili mtu fulani apate cheo, siyo kwamba kuna mahitaji. Yaani jimbo linatengenezwa ili tu mtu fulani awe mbunge, siyo kwamba kulikuwa na uhitaji wa kuwa na jimbo la uchaguzi la nyongeza.

Mmesikia huko Mbeya, imekuja huko Dar, na tutaendelea kusikia.

Eti Mbeya igawanywe iwe na majimbo mawili ya uchaguzi kwa sababu idadi ya watu imeongezeka! Upuuzi mkubwa. Hivi ni wapi ambako watu hawaongezeki? Kama kuongezeka kwa watu ndiyo kigezo pekee cha kupngeza idadi ya wabunge, basi itabidi tuongeze na idadi ya MARAIS kwa sababu idadi ya watanzania imeongezeka sana. Kama eneo la jimbo limebakia lile lile, uhalali wa kuongeza jimbo jingine unatoka wapi?

Watanzania tunaongezeka kila siku, ina maana kila mwaka tutakaokuwa na uchaguzi tutakuwa runaongeza idadi ya majimbo ya uchaguzi?

Uongeze idadi ya wabunge kwa sababu idadi ya wananchi imeongezeka, kwani hao wabunge ni madaktari kiasi cha kusema wanazidiwa na idadi ya wagonjwa wa kuwahudumia? Au tuseme hao wabunge ni walimu wa kusema kuwa wamezidiwa na ongezeka la wanafunzi katika darasa?

Kama hatuna akili, tunashindwa hata kutazamia? Hizi nchi ambazo miaka nenda rudi idadi ya majimbo yao ni yale yale, wenyewe hawaongezeki?

Wananchi wanahitaji:

1) Ongezeko la hospitali, madaktari na wauguzi linaloendana na ongezeko la idadi ya watu, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

2) Ongezeko la shule na walimu, linaloendana na ongezeko la idadi ya watoto, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

3) Ongezeko la miundombinu ya usafiri na usafirishaji linaloendana na ongezeko la idadi ya watu na vyombo vya usafiri, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

4) Ongezeko kubwa la uwekezaji litakaloleta ongezeko kubwa la ajira linaloendana na ongezeko kubwa la idadi ya watu, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

5) Ongezeko kubwa la wazalishaji na walipa kodi watakaoongeza mapato ya Serikali, siyo ongezeko la wabunge. Tunahitaji ongezeko la wazalishaji, siyo matumbo na midomo ya walaji. Wabumge ni walaji, siyo wazalishaji.

Katika mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, iwekwe pia sheria inayozuia kuongeza majimbo, isipokuwa kwa sababu ya pekee na ya wazi kama vile Serikali kama itafuta baadhi ya hifadhi kubwa za Taifa na kuzifanya kuwa maeneo ya makazi na shughuli za kiuchumi. Hiyo itazuia wanasiasa hadaa, ambao badala ya kusema kuwa ushindani wa kuupata ubunge jimboni kwake umekuwa mkubwa, anawahadaa watu eti ni kwa sababu idadi ya watu imekuwa kubwa.

Kama idadi ya watu ndiyo kigezo pekee cha kupngeza idadi ya viongozi na wawakilishi, basi pia toa pendekezo la kuwa na ongezeko la idadi ya Marais, Mawaziri Wakuu, Mawaziri na Wakuu wa Mikoa, maana hao pia wanastahili kuhudumia ongezeko hilo la watu.
There is no justification whatsoever to increase the number of constituencies just for political expediency!! Mbunge mmoja tu ni mzigo kwa wananchi sasa mnapotaka kujiongeza mnafikiria matumbo yenu tu na sio uhuhitaji!! Stop this non sense.
 
ni wajinga tu ndio hawaijui mbeya, ni jiji kubwa sana ila halijapangika. nimeishi mbeya na ni kwetu. kuanzia nanenane 9kwa wale waliofika) kuelekea uyole yote hadi Nsalaga, kuna bonde la watu wengi sana. kama dsm imegawanya, kama mwanza imegawanywa, kwanini isiwe mbeya ili kurahisisha huduma kwa wananchi? imagine dsm ingekuwa na mbunge mmoja kuwakilisha jiji lote, au hata mwanza, ...sasa kama hoja ni uwingi wa watu au ukubwa wa eneo, mbeya jiji ni pakubwa sana ila huwezi kupajua hadi uishi pale.
Wewe ni mjinga! Huelewi chochote zaidi njaa yako tu!
Mbunge anatoa huduma gani kwa Wananchi hadi azidiwe na idadi ya watu?!
Mtoa mada ameeleza vizuri sana ila vil.aza hamuelewi!
 
Tanzania ni nchi pekee ambayo vioja haviishi, na vioja hivyo zaidi huletwa na watu wanaoijiita viongozi au Wasomi.

Tanzania ndiyo nchi ambayo unaweza kupata mawazo ya kijinga zaidi kwa mtu anayeitwa doctor au profesa, ya kijinga kuliko unayoweza kuyapata kwa aliyeishia darasa la saba.

Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo sheria, kanuni na hata baadhi ya nafasi hutengenezwa ili mtu fulani apate cheo, siyo kwamba kuna mahitaji. Yaani jimbo linatengenezwa ili tu mtu fulani awe mbunge, siyo kwamba kulikuwa na uhitaji wa kuwa na jimbo la uchaguzi la nyongeza.

Mmesikia huko Mbeya, imekuja huko Dar, na tutaendelea kusikia.

Eti Mbeya igawanywe iwe na majimbo mawili ya uchaguzi kwa sababu idadi ya watu imeongezeka! Upuuzi mkubwa. Hivi ni wapi ambako watu hawaongezeki? Kama kuongezeka kwa watu ndiyo kigezo pekee cha kupngeza idadi ya wabunge, basi itabidi tuongeze na idadi ya MARAIS kwa sababu idadi ya watanzania imeongezeka sana. Kama eneo la jimbo limebakia lile lile, uhalali wa kuongeza jimbo jingine unatoka wapi?

Watanzania tunaongezeka kila siku, ina maana kila mwaka tutakaokuwa na uchaguzi tutakuwa runaongeza idadi ya majimbo ya uchaguzi?

Uongeze idadi ya wabunge kwa sababu idadi ya wananchi imeongezeka, kwani hao wabunge ni madaktari kiasi cha kusema wanazidiwa na idadi ya wagonjwa wa kuwahudumia? Au tuseme hao wabunge ni walimu wa kusema kuwa wamezidiwa na ongezeka la wanafunzi katika darasa?

Kama hatuna akili, tunashindwa hata kutazamia? Hizi nchi ambazo miaka nenda rudi idadi ya majimbo yao ni yale yale, wenyewe hawaongezeki?

Wananchi wanahitaji:

1) Ongezeko la hospitali, madaktari na wauguzi linaloendana na ongezeko la idadi ya watu, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

2) Ongezeko la shule na walimu, linaloendana na ongezeko la idadi ya watoto, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

3) Ongezeko la miundombinu ya usafiri na usafirishaji linaloendana na ongezeko la idadi ya watu na vyombo vya usafiri, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

4) Ongezeko kubwa la uwekezaji litakaloleta ongezeko kubwa la ajira linaloendana na ongezeko kubwa la idadi ya watu, siyo ongezeko la wabunge au mawaziri.

5) Ongezeko kubwa la wazalishaji na walipa kodi watakaoongeza mapato ya Serikali, siyo ongezeko la wabunge. Tunahitaji ongezeko la wazalishaji, siyo matumbo na midomo ya walaji. Wabumge ni walaji, siyo wazalishaji.

Katika mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, iwekwe pia sheria inayozuia kuongeza majimbo, isipokuwa kwa sababu ya pekee na ya wazi kama vile Serikali kama itafuta baadhi ya hifadhi kubwa za Taifa na kuzifanya kuwa maeneo ya makazi na shughuli za kiuchumi. Hiyo itazuia wanasiasa hadaa, ambao badala ya kusema kuwa ushindani wa kuupata ubunge jimboni kwake umekuwa mkubwa, anawahadaa watu eti ni kwa sababu idadi ya watu imekuwa kubwa.

Kama idadi ya watu ndiyo kigezo pekee cha kupngeza idadi ya viongozi na wawakilishi, basi pia toa pendekezo la kuwa na ongezeko la idadi ya Marais, Mawaziri Wakuu, Mawaziri na Wakuu wa Mikoa, maana hao pia wanastahili kuhudumia ongezeko hilo la watu.
Una hasira mhishimiwa!Take it easy,palsy!Easy!Easy,fella!
 
Eti Mbeya igawanywe iwe na majimbo mawili ya uchaguzi kwa sababu idadi ya watu imeongezeka! Upuuzi mkubwa. Hivi ni wapi ambako watu hawaongezeki? Kama kuongezeka kwa watu ndiyo kigezo pekee cha kupngeza idadi ya wabunge, basi itabidi tuongeze na idadi ya MARAIS kwa sababu idadi ya watanzania imeongezeka sana. Kama eneo la jimbo limebakia lile lile, uhalali wa kuongeza jimbo jingine unatoka wapi?
Tufike mahali tuseme ukweli, Rasim ya Jaji Warioba itendewe haki maana ndiyo ilibeba kila kitu wanachokitaka watanzania, mbunge mmoja kwa kila mkoa inatosha, mbona ma RC wanazungukia mkoa mzima kusikiliza kero za wananchi kwa muda mfupi, iweje wabunge wenye coverage ya kitongoji wawe utitiri matokeo yake wanaongeza matumizi ya walipa kodi bila sababu
 
ni wajinga tu ndio hawaijui mbeya, ni jiji kubwa sana ila halijapangika. nimeishi mbeya na ni kwetu. kuanzia nanenane 9kwa wale waliofika) kuelekea uyole yote hadi Nsalaga, kuna bonde la watu wengi sana. kama dsm imegawanya, kama mwanza imegawanywa, kwanini isiwe mbeya ili kurahisisha huduma kwa wananchi? imagine dsm ingekuwa na mbunge mmoja kuwakilisha jiji lote, au hata mwanza, ...sasa kama hoja ni uwingi wa watu au ukubwa wa eneo, mbeya jiji ni pakubwa sana ila huwezi kupajua hadi uishi pale.
Duh! Mbeya naifahamu sana, in and out. Nilisoma Iyunga Sekondari, kuna wakati nilikuwa mtaalam mshauri wa kampuni moja ya kigeni ambayo ilikuwa Mbeya kabla ya mkoa kigawanywa. Hakuna mwaka ambao sijawahi.kufika Mbeya.

Naifahamu Dar kikamilifu sana, nimeishi ma bado nina makazi Dar.

Naifahamu sana Mwanza, nimeishi na nina makazi pia.

Naifahamu sana Arusha, nimeishi na nina makazi Arusha.

Dodoma, Tanga, Tabora, Iringa, Morogoro, Mtwara nazitembelea mara kwa mara.

Ukubwa wa jiji la Mbeya unayazidi kwa kiasi gani majiji kama Arusha, Dodoma, au Tanga?

Unajua ukubwa wa Mwanza na uwingi wa watu wa Mwanza?

Population:

Dar es Salaam 7,405,000
Mwanza city 1,245,000
Mbeya City 620,000
Arusha city 519,000
Tanga City 245,000
Dodoma city 324,347

Kwa statistics hizi, kama kigezo ni population pekee, Mbeya kama itakuwa na majimbo 2, Mwanza itatakiwa kuwa na majimbo mangapi? Dar itatakiwa kuwa na majimbo mangapi?
 
Back
Top Bottom