Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,499 86,037 Jul 17, 2012 #3 Hivi Talaka inaamanisha hata siku mkiwa mahali pa faragha na mazingira yakaruhusu huwezi kumgusa kabisa mwenzio? au unaruhusiwa kufanya kumbukumbu?
Hivi Talaka inaamanisha hata siku mkiwa mahali pa faragha na mazingira yakaruhusu huwezi kumgusa kabisa mwenzio? au unaruhusiwa kufanya kumbukumbu?
dubu JF-Expert Member Oct 18, 2011 3,496 3,461 Jul 17, 2012 #4 Mkirua said: Tarehe??? Click to expand... 16/4/2012
Wilbert1974 JF-Expert Member Feb 10, 2011 1,632 478 Jul 17, 2012 #5 dubu said: 16/4/2012 Click to expand... Weka na ya nakala Mahakama ya KADHI, tuone ipi ni ya kiwango zaidi!
dubu said: 16/4/2012 Click to expand... Weka na ya nakala Mahakama ya KADHI, tuone ipi ni ya kiwango zaidi!
M MAMENGAZI JF-Expert Member Dec 31, 2010 780 128 Jul 17, 2012 #6 kwa hiyo ruksa kwa dr slaa kuchukua jumla au josephine huyo sio yule mtarajiwa wa dr!
kiagata JF-Expert Member Jan 12, 2012 206 79 Jul 17, 2012 #8 Beso said: talaka ndio hii!!!View attachment 59030 Click to expand... Mkuu ndoa hii imevunjika lini?.Kwasasa tangu 2006 hakuna wilaya ya Mwanza.Zipo Nyamagan na Ilemela ambazo zinaunda jiji la Mwanza.
Beso said: talaka ndio hii!!!View attachment 59030 Click to expand... Mkuu ndoa hii imevunjika lini?.Kwasasa tangu 2006 hakuna wilaya ya Mwanza.Zipo Nyamagan na Ilemela ambazo zinaunda jiji la Mwanza.