Du Bois ideas
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 427
- 82
Kwenu wana great thinkers,
Kwanza, kabla ya yote nipende kutoa pole kwa chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa kupoteza wanachama wao na wengine wengi kujeruhiwa katika Bomu lilitokea Soweto Arusha katika kufunga kampeni zao za udiwani katika mji huo, tukio ambalo lilikuwa na watu wengi sana. Kutoka na hilo nawapa Pole sana wanachadema wote walipo popote pale ulimwenguni.
Pili, mimi ningependa tufanye tathmini ya kina katika matokea kule kulikofanyika uchaguzi ili tuone chama gani kinashuka na kipi kinapanda katika medali zake za Kisiasa kati ya Chadema na CCM. Kwa babu kuna post simekuwa zikija hapa zinasema CCM imeshinda viti vingi zaidi vy udiwani katika kat zilizofanya uchaguzi. Maswali amabyo ningependa tupate Takwimu ni haya
1. Jumla ya kata zilikuwa 22 ukitoa kata 4 za Arusha
2. CDM imeshinda ngapi? Na kati za hizo ngapi zilikuwa za CDM hapo awali na ngapi zilikuwa za CCM?
3. CCm Imeshinda kata ngapi Jumla? na kati ya hizo ngapi zilikuwa za CCM na ngapi za CDM?
4. Katika kat zote hizo 2 ukijumlisha CCm imepata kura ngapi na CDM ngapi kwa Ujumla?
Natumaini maswali haya yanaweze kutupa picha kamili kama kweli CCM imeendelea kuwa chama chenye mvuto kwa Watanzania au CDM ndo chama kinachopendwa sasa na watanzania. Mimi paka sasa sina takwimu za matokeo katika kata zote hizo 22
Asante
Kwanza, kabla ya yote nipende kutoa pole kwa chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa kupoteza wanachama wao na wengine wengi kujeruhiwa katika Bomu lilitokea Soweto Arusha katika kufunga kampeni zao za udiwani katika mji huo, tukio ambalo lilikuwa na watu wengi sana. Kutoka na hilo nawapa Pole sana wanachadema wote walipo popote pale ulimwenguni.
Pili, mimi ningependa tufanye tathmini ya kina katika matokea kule kulikofanyika uchaguzi ili tuone chama gani kinashuka na kipi kinapanda katika medali zake za Kisiasa kati ya Chadema na CCM. Kwa babu kuna post simekuwa zikija hapa zinasema CCM imeshinda viti vingi zaidi vy udiwani katika kat zilizofanya uchaguzi. Maswali amabyo ningependa tupate Takwimu ni haya
1. Jumla ya kata zilikuwa 22 ukitoa kata 4 za Arusha
2. CDM imeshinda ngapi? Na kati za hizo ngapi zilikuwa za CDM hapo awali na ngapi zilikuwa za CCM?
3. CCm Imeshinda kata ngapi Jumla? na kati ya hizo ngapi zilikuwa za CCM na ngapi za CDM?
4. Katika kat zote hizo 2 ukijumlisha CCm imepata kura ngapi na CDM ngapi kwa Ujumla?
Natumaini maswali haya yanaweze kutupa picha kamili kama kweli CCM imeendelea kuwa chama chenye mvuto kwa Watanzania au CDM ndo chama kinachopendwa sasa na watanzania. Mimi paka sasa sina takwimu za matokeo katika kata zote hizo 22
Asante