Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,943
- 6,863
Zitto,
TAKUKURU wako right kabisa, lakini wanachofanya hawafanyi at a right time, timing yao ndio inayoleta walakini na mvutano, baada ya Hosea kuona anajadililiwa yeye anafanya counter attack ili apunguze makali ya mumjadili. Muhimu Hosea awajibike kama maagizo ya bunge yanavyotaka na baadaye kuhojiwa kuenedelee kwa kufuata taratibu na ile wawe fair kwa kiasi kinachotakiwa waanze na mawaziri, manaibu, wabumbe, makatibu wakuu na washuke chini zaidi, natoa hoja.
Hapana, Mkuu. Takukuru hawako right. Basi itafika wakati itabidi Takukuru wakawahoji wabunge kwa kulala bungeni au kutohudhuria vikao vya bunge!
Wana kazi muhimu lakini hii si mojawapo.
Amandla.......