Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Mbona TAKUKURU wanataka kutufanya sie Watanzania mazoba? Kupokea posho mara 2 ni rushwa? Kwani kazi hasa ya TAKUKURU ni nini? Hawa wabunge wamepokea rushwa au wamepokea posho mara 2? Mnaacha wanao kula rushwa nene mnafuatilia wanao kula posho mara 2 tuwaeleweje? Au ndo ukomo wenu ulipo fikia?