Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Kuna kijana aliuawa na polisi Iyunga sekondari kwenye mgomo wa wanafunzi jina limenitoka na mwaka pia.
Michael Sikupya...
Kuna kijana aliuawa na polisi Iyunga sekondari kwenye mgomo wa wanafunzi jina limenitoka na mwaka pia.
labda, maana miaka zaidi ya ishirini sasa mwanga umeshakuwa mkubwa juu ya swala hili japo ufuatiliaji wa mambo kwa Watanzania uko slow mno. Cha msingi hili dili lilihusisha mlolongo wa watu kadhaa.Aliyehusika yule yule babu alizabuliwa kofi msikitini?