Samvurah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 471
- 427
Prof.Ndalichako ni Jimbo la Kasulu MasharikiWatu hawampendi Kitila. Kuna jamaa fulani pale Makuburi wanasema arudi upinzani alikotokea..
Kiukweli jamaa alikuwa planted na Magu pale Ubungo. Nia yake alikuwa agombee Iramba Magharibi ila Mwigu akataka kumuwashia moto wa rushwa ndipo Magu akamtonya kwamba toka huko haraka njoo Ubungo.
Wengine planted ni Prof Mkenda-Rombo, Prof. Ndakidemi-Moshi Vijijini, Prof. Kabudi-Kilosa, Prof. Ndakichako-sikumbuki jimbo, Dr. Kimei-Vunjo et al