mmmmmhhhh kuna inteneti huko?mhhh Erickb52 mbona sijawahi sikia elimu au degree ya PHE au ndo mpya hiyo ya kujifunza kuchukua wake za watu nini
Ahhh umenipa sifa sana mimi niliishia la pili na sasa hivi nauza maandazi na kilimo hapa Hungumalwa
majibu ya nini? Ya maombi yangu ya mkopo wa bilioni tano barclays? Nshayachukua ndiyo,nimekubaliwa.
mmmmmhhhh kuna inteneti huko?
Erick mwache dawa yake inachemshwa na The secretary,kazidi kumsarandia wakati ye hamtaki.
Nimsarandie wakati kila siku vitatu vinamhusu?mmmmmhhhh kuna inteneti huko?
Erick mwache dawa yake inachemshwa na The secretary,kazidi kumsarandia wakati ye hamtaki.
am sore am gladi!
mi kisomo changu UPE
Heheheheheee Mr Rocky niliamua kujiendeleza kidogo ndio nkapata hivyo vi Ph.com alivoorodhesha Bishanga
husninyo anakusalimia,jana nilikuwa naye dinner slipway.
Nina wasi wasi na wewe
Chuo nhenyewe ulichosoma kiko ungalelo
Na mwalimu wako anakunywa gongo kule kwa mromboo
Hakuna cha PHD wala nini hapo magumashi matupu Erickb52