Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
MMK,
Mtalii alikutuhumu hapa kwamba unajihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya kwenye ile thread ya Mtanzania aliyeuwawa UK, nilikuomba utoe tamko kuhusu tuhuma hizo lakini hadi leo umekaa kimya, I think we should all practise what we are preaching here.
NB:UGAIDI and not UGHAIDI- Apart from that, a very good article I must say, congratulations!I wish I could write like you.
kwanini usimuulize huyo jamaa akuambie ushahidi alionao kwamba nahusika na madawa ya kulevya? jibu gani la kwangu litakuridhisha litakufanya uniamini nitakachokuambia? Na mimi nikikutuhumu kuwa unajihusisha na kusafirisha watoto wa kike kwa Umalaya Thailand, utanithibitishia vipi kuwa huhusiki?