Ndugu zangu hali ya maisha ya mtanzania yanatisha,Kila mahali mitumba ,kila kitu mitumba BALAAAA KUBWA HILI !!!Taifa linaangamia kwa mitumba magonjwa mbali mbali ndani ya mitumba saratani ya ngozi na mengineyo.Lakini kwanini tuwe Taifa la mitumba???
Ndugu zangu hali ya maisha ya mtanzania yanatisha,Kila mahali mitumba ,kila kitu mitumba BALAAAA KUBWA HILI !!!Taifa linaangamia kwa mitumba magonjwa mbali mbali ndani ya mitumba saratani ya ngozi na mengineyo.Lakini kwanini tuwe Taifa la mitumba???