'Tahrir square' ya Dar ni wapi??

nimeangalia historia za mapinduzi ktk nchi nyingi wamekua na meeting point lakini kwa tanzani i came to realize we dont have a revolution square tunaomba serikali pia mtusaidie katika hili pia .

Uwanja mpya wa taifa DSM,Jangwani DSM,Nyerere square DODOMA,Municipal Garden Iringa nk.....
 
Tuantakiwa kujipanga sio kuongea tu hapa nchi hii inahitaji mikakati na maarifa sio kulopoka lopoka ndio maana muungwana ni kitendo kama tumeamua tutimizi kweli kama ni majungu tukae kimya kabisa maana siajaoana wanaume walioijaa uajsili kwa mfano juzi tu thread ya Shimbo ilitolewa lakini huo ndio ukweli mungeiacha tuendelee kuchangia na kufuatilia nini kinaendelea na kama ulikuwa uongo mbona hakuna aliye kanusha?

Tusitafute majibu rahisi kwenye swali ngumu
 
Popote pale mbona mashujaa kule mbeya (chunya road) hawakusubiri special ground? walimpopoa jamaa live tena kwa ustadi wote. Jamani enough is enough, mwenye rungu haya mwenye mawe haya twendeni tukaikomboe nji yetuuuuuu!!!!
 
Historia inasema wakati wa kudai uhuru kwa mkoloni baba zetu walikutana kidongo chekundu.
 
Wakuu njooni mtanikuta mnazi mmoja niko na masela watatu! wakiongezeka watatau tutakuwa 6, njooni fasta kabla hiyo misukule ya IGP mwema haijapata taarifa.
 
Mnazi mmoja panafaa sana kufanya maandamano watz Tanzania imepata nahodha mwenye ugonjwa wa kifafa na saizi kimeanza katikati ya bahari je tutafika au mashua izame na sisi tuzame tumbadilishe nahodha...........................................!
 
Ndugu wana JF na Watanzania wenzangu,

Ninaguswa sana na matatizo yanayotukumbuka kwenye nchi yetu,matatizo ambayo ukiyachunguza kwa undani ni kwamba yanasababiswa na mfumo MBOVU WA UTAWALA WA SERIKALI YA CCM(Chama cha Majambazi au Mafisadi).

Mpaka sasa hivi kuna matukio ambayo yanatugusa Watanzania moja kwa moja na inabidi tuchukue hatua ili kuwashinikiza CCM waondoke madarakani. Matukio hayo ni:
  1. Mgawo wa umeme unaosababishwa na uzembe wa Serikali.
  2. Kushuka kwa kiwango cha Elimu ya Sekondari ambapo 50% ya vijana wamepata Daraja sifuri(0).
  3. Milipuko ya Mabomu ya G.Mboto yaliyosababishwa na uzembe wa JWTZ.
  4. Kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na kushuka kwa thamani ya Tshs.
Hakuna mtanzania ambaye haguswi na matatizo haya. Kwa hiyo mimi nashauri kuwa Watanzania tujipange kuandaa MAANDAMANO YA NCHI NZIMA(PEOPLES POWER)KUSHINIKIZA SERIKALI YA CCM IONDOKE MADARAKANI BAADA YA KUONGOZA KWA MIAKA 50! Wenzetu TUNISIA,MISRI wameweza kuwaondoa viongozi wao waliokaa madarakani miaka kedekede na sasa NUVU YA UMMA IMEHAMIA LIBYA, na YEMENI na mapambano bado yanaendelea.

Napendekeza TAHRIR SQUARE YETU IWE VIWANJA VYA JANGWANI.

Anza kwenda wewe na familia yako hapo TAHRIR SQUARE waka kusulubu kwanza
 
i wish nimjue huyo mtu anajiita genius brain.. nahisi sio mtanzania na kama ni mtanzania basi atakua right man wa hao mafisadi

nadhani hata hiyo modem wamemnunulia na wanamwekea MBs za kuja kusumbua humu.... siku yaja

Karibu sana ! na ile posa yangu ya kukuoa wazazi wako wameisha ijibu?
 
Mnazi moja ni strategic location unaweza kusimamisha kila kitu kwa muda mfupi. sana
 
Kiwanja kizuri ni Mnazi Mmoja, ujue hiyo ni sawa na vita haifai kuchagua sehemu utakayozingirwa kiurahisi.
...Mbona mnazi mmoja ndio pabaya zaidi...bora ya hapo jangwani..tatizo ninaloliona mimi je watanzania wana uwezo wa kuingia bara barani kwa siku 7 au 10 mfululizo bila kujali shida zako na za wanaokutegemea?

Misri niliona jamaa kila siku wanapelekewa mikate na maji hapa nani atachukua jukumu hilo. Hilo ni jambo kubwa linalohitaji maandalizi ya kiukweli vinginevyo ikifika saa 3 asubuhi kila mtu anajiondokea anakwambia naenda kutafuta chai....
 
Back
Top Bottom