<br />viwanja vya karimjee dar karibu na kwa mkuu
kidongo chekundu haipo temeke....
Mkuu nashukuru kwa kunikumbuka,Hapa Nyaluland Iringa---Mwembetogwa na Mlandege patachimbika sana na uwanja mpana wa namna nzuri ya Kuwazingira wale watoto wa MwemaNinyi watu wa dar ni wajinga, mazezeta na wanafiki sana: ingawa uchaguzi mkuu ulopita mmejaribu kutoa tongotongo. Hamuwezi kuwa chanzo cha mapinduzi nchi hii. Tutarajie chanzo kwa sasa kuwa Mwanza, Mara, Dodoma, Shinyanga, Arusha, Mbeya, Iringa, au Kilimanjaro.
<br />Ilolo Grounds Mbeya
Mkuu, Ilala ni kubwa inaanzia posta mpaka tabata!<br /><br />
<br />
kidongo chekundu iko ilala. Labda ulimaanisha mwembeyanga
<br />Kwenye geti la hikulu halipo panga mkuu wa magamba(******) aka vasco dagama aka popooooooooz shaloba aka tabasa....endeeeelea.........
<br />nimeangalia historia za mapinduzi ktk nchi nyingi wamekua na meeting point lakini kwa tanzani i came to realize we dont have a revolution square tunaomba serikali pia mtusaidie katika hili pia .