Tahadhari: Ufisadi katika awamu ya tano utaweka historia kuliko tawala zote!

Salam za jumapili wanabodi!!

Napenda kuweka hii rejea mahsusi kwa siku za mbele!!

Katika awamu ya tano kuna vitendo vya hovyo sana hasa ktk suala zima la matumizi ya pesa za umma. Na u hivyo huu unafunikwa na Kauli ya 'nia njema'

Nchi yetu imejiondoa kabisa ktk program ya uwazi na mambo mengi sasa imekuwa ni siri kuu....

Tukianza na sakata la E-passport tukumbuke na ya Richmond!! Kwenye Richmond 'nia njema' na uharaka vilileta balaa!! Sura ile ile ya sakata la Richmond ndio imejitokeza kwenye E-passport!! Richmond ilipewa Kazi kinyume na zabuni na hii kampuni ya e E-passport pia imepewa Kazi kinyume na zabuni na haina sifa stahiki.

Awamu ya tano imetupa pembeni utaratibu wa zabuni na sasa inaamua na kufanya manunuzi au kuingia mikataba wenyewe kwa amri toka juu...

Rejea hii itatukumbusha siku za usoni na hasa kwa Miradi hii....

1. Uwanja wa ndege chato
2.vitambulisho vya utaifa
3.fly overs
4. Bombadier
5.Tenda za ujenzi za TBA n.k

Kwa kumalizia tuu.... nimeandika hayo nikiwa full detailed..... kuna vitu duniani havichiki navyo ni Jua...mwezi na ukweli.

MUDA NI HAKIMU WA YOTE!!
Ramli yako kiboko
 
...this is exactly what is happening now..hata mwaka haujaisha....maana kasi ya haya kutokea ni kubwa mno....huu wizi unaosemwa wa tri.1.5 unaweza kuwa nyuma ya hizi dili.....maana report za bombadier (mfano) hazipo....Na wala ununuzi wake haukupitia bungeni....

..hapa ulisahau miradi mikubwa 2 wanayotamba nayo sana sasa..yani stiglers gorge Na standard gauge railway.....BTW wameacha kushughulika Na issue ya gesi asilia Mtwara maana wanajua kutupiga Kule itakuwa ngumu...ama wenzao waliopita walishatupiga....hivyo wamebadili vijiwe vya kutupiga....

..awamu hii ni shida...ndio maana wamebana vyombo vya habari....Na watu kuongea bungeni kupitia live bunge....walijua wanatupiga....sasa report za CAG zimewaumbua...wamebaki kujibu hoja kisiasa...so sad...


Salam za jumapili wanabodi!!

Napenda kuweka hii rejea mahsusi kwa siku za mbele!!

Katika awamu ya tano kuna vitendo vya hovyo sana hasa ktk suala zima la matumizi ya pesa za umma. Na u hivyo huu unafunikwa na Kauli ya 'nia njema'

Nchi yetu imejiondoa kabisa ktk program ya uwazi na mambo mengi sasa imekuwa ni siri kuu....

Tukianza na sakata la E-passport tukumbuke na ya Richmond!! Kwenye Richmond 'nia njema' na uharaka vilileta balaa!! Sura ile ile ya sakata la Richmond ndio imejitokeza kwenye E-passport!! Richmond ilipewa Kazi kinyume na zabuni na hii kampuni ya e E-passport pia imepewa Kazi kinyume na zabuni na haina sifa stahiki.

Awamu ya tano imetupa pembeni utaratibu wa zabuni na sasa inaamua na kufanya manunuzi au kuingia mikataba wenyewe kwa amri toka juu...

Rejea hii itatukumbusha siku za usoni na hasa kwa Miradi hii....

1. Uwanja wa ndege chato
2.vitambulisho vya utaifa
3.fly overs
4. Bombadier
5.Tenda za ujenzi za TBA n.k

Kwa kumalizia tuu.... nimeandika hayo nikiwa full detailed..... kuna vitu duniani havichiki navyo ni Jua...mwezi na ukweli.

MUDA NI HAKIMU WA YOTE!!
 
Unaweza kuwa unasema ukweli lakini ukishasema taratibu za zabuni, hapo sikubaliani nawe. PPRA na mambo yao ya zabuni ni njia ya Rushwa za kutisha! PPRA imeandikwa na hao hao wanaoisimamia. Unakumbusha TBA wakati unafahamu kwa zabuni ilifikia bilioni 200? Hata kama TBA wajenge kwa bilioni 50 bado hailingani na wapiga dili za zabuni. Hata ununuzi wa Boeing ulikufa kwa sababu tu wahusika walitaka kutangaza zabuni, eti kuwe na wanaoshindana kutuuzia boeing! Watoke wapi zaidi ya kampuniya boeing?

Tusiandike kama waganga wa kienyeji wanaotabiri maovu tuuuu!
Kwahiyo solution ni manunuzi kufanywa kiholela?! Hivi panapo utendaji kazi kiholela namna hii; unaweza kuwa na clue as to WHY Boeing and not Airbus?!
 
Najua wapendwa mnapiga kelele lakini kelele zenu sio za bure iko siku itafanya kati. Lowassa aliwahi kusema msiingie mtaani kwa ajili ya ikulu watakimbia wenyewe. Nina uhakika 100% Sizonje atakimbia Ikulu siku sio nyingi.
 
Magufuli tunamuonea

Ufisad enz za msoga ulikuwa mkubwa sema wakat huo mianya ya rushwa ilikuwa mingi hivyo kuna possibility hata zile figures zilikuwa znachakachuliwa na hao auditors kabla ya ku release report zao.
 
Unamaanisha nini mkuu?
Namaanisha wakat huu kutokana na kila ofis kujifanya ipo strict haitaki mambo ya rushwa so taarifa ya CAG imekuja kama ilivyo bila kuchakachuliwa.

Wakat wa msoga figures zilikuwa tempered ili kuweka mambo sawa na kupunguza ukakasi masikion mwenu.
 
Unamaanisha nini mkuu?
Namaanisha wakat huu kutokana na kila ofis kujifanya ipo strict haitaki mambo ya rushwa so taarifa ya CAG imekuja kama ilivyo bila kuchakachuliwa.

Wakat wa msoga figures zilikuwa tempered ili kuweka mambo sawa na kupunguza ukakasi masikion mwenu.
 
Tulisema.... tutasema uzi huu utakua rejea mbeleni.....
Salutation your excellency, may you receive my standing ovation as a sign of appreciating what you had right a couple of days ago in reflection to what is currently happening now.
 
Salutation your excellency, may you receive my standing ovation as a sign of appreciating what you had right a couple of days ago in reflection to what is currently happening now.
Shukran mkuu.
 
Back
Top Bottom