Tahadhari: Ufisadi katika awamu ya tano utaweka historia kuliko tawala zote!

Salam za jumapili wanabodi!!

Napenda kuweka hii rejea mahsusi kwa siku za mbele!!

Katika awamu ya tano kuna vitendo vya hovyo sana hasa ktk suala zima la matumizi ya pesa za umma. Na u hivyo huu unafunikwa na Kauli ya 'nia njema'

Nchi yetu imejiondoa kabisa ktk program ya uwazi na mambo mengi sasa imekuwa ni siri kuu....

Tukianza na sakata la E-passport tukumbuke na ya Richmond!! Kwenye Richmond 'nia njema' na uharaka vilileta balaa!! Sura ile ile ya sakata la Richmond ndio imejitokeza kwenye E-passport!! Richmond ilipewa Kazi kinyume na zabuni na hii kampuni ya e E-passport pia imepewa Kazi kinyume na zabuni na haina sifa stahiki.

Awamu ya tano imetupa pembeni utaratibu wa zabuni na sasa inaamua na kufanya manunuzi au kuingia mikataba wenyewe kwa amri toka juu...

Rejea hii itatukumbusha siku za usoni na hasa kwa Miradi hii....

1. Uwanja wa ndege chato
2.vitambulisho vya utaifa
3.fly overs
4. Bombadier
5.Tenda za ujenzi za TBA n.k

Kwa kumalizia tuu.... nimeandika hayo nikiwa full detailed..... kuna vitu duniani havichiki navyo ni Jua...mwezi na ukweli.

MUDA NI HAKIMU WA YOTE!!
Ujenzi wa ukuta Mirerani
Loading ......
 
Siku madudu ya serikali ya magufuli yakianza kufichuliwa wale wafia chama cha fisiem sijui wataweka wapi nyuso zao.
Hawawezi kukosa pa kuziweka mkuu, zitabaki hapo hapo. Nakumbuka sakata la Richmond lilivyokuwa na jinsi watu walivyoacha nyuso zao hapo hapo.
 
........Kila ufalme uliofitinika wenyewe kwa wenyewe hufanywa ukiwa, na nyumba juu ya nyumba huanguka. Luka 11:17. Tafakuri hii inamhusu Mungu mtu.
 
Salam za jumapili wanabodi!!

Napenda kuweka hii rejea mahsusi kwa siku za mbele!!

Katika awamu ya tano kuna vitendo vya hovyo sana hasa ktk suala zima la matumizi ya pesa za umma. Na u hivyo huu unafunikwa na Kauli ya 'nia njema'

Nchi yetu imejiondoa kabisa ktk program ya uwazi na mambo mengi sasa imekuwa ni siri kuu....

Tukianza na sakata la E-passport tukumbuke na ya Richmond!! Kwenye Richmond 'nia njema' na uharaka vilileta balaa!! Sura ile ile ya sakata la Richmond ndio imejitokeza kwenye E-passport!! Richmond ilipewa Kazi kinyume na zabuni na hii kampuni ya e E-passport pia imepewa Kazi kinyume na zabuni na haina sifa stahiki.

Awamu ya tano imetupa pembeni utaratibu wa zabuni na sasa inaamua na kufanya manunuzi au kuingia mikataba wenyewe kwa amri toka juu...

Rejea hii itatukumbusha siku za usoni na hasa kwa Miradi hii....

1. Uwanja wa ndege chato
2.vitambulisho vya utaifa
3.fly overs
4. Bombadier
5.Tenda za ujenzi za TBA n.k

Kwa kumalizia tuu.... nimeandika hayo nikiwa full detailed..... kuna vitu duniani havichiki navyo ni Jua...mwezi na ukweli.

MUDA NI HAKIMU WA YOTE!!
Flyovers mikataba yake ilikuwepo kabla ya awamu ya tano kuanza
 
Nadhani ingekuwa vyema ungetueleza ni kifungu kipi cha sheria ya manunuzi kilikiukwa kwa kila project. Jinsi ulivyoandika ni kama mganga wa kienyeji tu.
 
Ufisadi mwingeni ambao mleta mada amesahau ni mtawala kuwa na mawazo ya kujiongezea muda kupitia midomo ya lumumba kama akina Jumi Nkamia.KULE LUMUMBA KULAMBA RAMBIRAMBI KWA KADIRI YA mungu WAO MZEE BABA NI BARAKA NA MAUJANJA
Wanatuona mazuzu kweli !
 
Watatupiga.. Watatunyima uhuru wa kupata habari.. Watatuua.. Watakandamiza tusitoe maoni yetu..
Lakini hawatazuia hisia, ukweli na harakati zetu dhidi yao..

[HASHTAG]#UjingaMwisho2018[/HASHTAG]
 
Hata ufisadi wakati wa Nyerere ulikuwa mkubwa mno
but ulifunikwa na 'wana Taasisi' hadi wakamtangaza 'mtakatifu'
iwapo John atafariki leo naweza kutabiri bila shida mchakato wa kumtangaza
'mtakatifu' utaanza mapema sana...

Kawaida ufisadi wa 'waswahili' hutangazwa sana..lakini ufisadi
wa wana 'taasisi' utashangaa ukifunikwa..

usisahau kulikuwa na ufisadi wizara aliyoiongoza mkubwa tu na ulifunikwa
Du! The Boss umerudi! hongera sana, mchango wako ni muhimu.
Angalau Nyerere hakubagua watu, hata wachaga aliwalea kama watanzania, siyo kama ilivyo sasa chini ya JPM. Pamoja na ile operesheni vijiji iliyoleta usumbufu mkubwa na watu kujeruhiwa na kuumizwa, kubomolewa nyumba zao, lakini siwezi kuifananisha na bomoabomoa inayoendelea chini ya JPM
 
Salam za jumapili wanabodi!!

Napenda kuweka hii rejea mahsusi kwa siku za mbele!!

Katika awamu ya tano kuna vitendo vya hovyo sana hasa ktk suala zima la matumizi ya pesa za umma. Na u hivyo huu unafunikwa na Kauli ya 'nia njema'

Nchi yetu imejiondoa kabisa ktk program ya uwazi na mambo mengi sasa imekuwa ni siri kuu....

Tukianza na sakata la E-passport tukumbuke na ya Richmond!! Kwenye Richmond 'nia njema' na uharaka vilileta balaa!! Sura ile ile ya sakata la Richmond ndio imejitokeza kwenye E-passport!! Richmond ilipewa Kazi kinyume na zabuni na hii kampuni ya e E-passport pia imepewa Kazi kinyume na zabuni na haina sifa stahiki.

Awamu ya tano imetupa pembeni utaratibu wa zabuni na sasa inaamua na kufanya manunuzi au kuingia mikataba wenyewe kwa amri toka juu...

Rejea hii itatukumbusha siku za usoni na hasa kwa Miradi hii....

1. Uwanja wa ndege chato
2.vitambulisho vya utaifa
3.fly overs
4. Bombadier
5.Tenda za ujenzi za TBA n.k

Kwa kumalizia tuu.... nimeandika hayo nikiwa full detailed..... kuna vitu duniani havichiki navyo ni Jua...mwezi na ukweli.

MUDA NI HAKIMU WA YOTE!!


E pasport,
SGR
Umeme
maji
 
Back
Top Bottom