Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Nsanzagee

JF-Expert Member
Jun 28, 2023
1,957
4,140
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Ripoti za CAG zinawekwa makabatini tu kwa mh sipika bila kufanyiwa kazi na wahusika wapo, hii ni dhambi kubwa sana na unyanyasaji kwa vibaka wa kuiba kuku huku mafisadi yakilelewa na viongozi!

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?

Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!

Ni tafrani tupu
 
Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.

Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.

Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.

Biashara kuimalika

Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa

Mzunguko wa pesa kuonekana

Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki

Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha

Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo

Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa

Wakulima angalau wanaona faida

Elimu ya juu pesa imeongezwa.
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimeferi vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Nakuunga mkono. Hana maono, mkakati madhubuti na ni dhaifu mno. Ni hasara kubwa kwa Taifa. Lakini wapiga Dili wanavyompamba kama hawaoni mateso ya wananchi
 
Ukiwa kwenye mfumo lazma uone maisha yako sawa maana uzembe hauna mashtaka awamu hii. Wizi umepewa baraka zote kwahio mtajenga sana, kununua sana mashamba kwa hela ya wizi.

Ishu ni kwa mtanzania ambaye riziki iko miguuni mwake. Hana bima wala support yeyote. Maisha hayawezi kuwa sawa
3 k, zeeMimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.

Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.

Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.

Biashara kuimalika

Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa

Mzunguko wa pesa kuonekana

Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki

Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha

Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo

Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa

Wakulima angalau wanaona faida

Elimu ya juu pesa imeongezwa.
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimeferi vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Petrol inatoka nje ya nchi inanunuliwa kwa fedha ya kigeni, hakuna namna ambayo sisi tunaweza kuwa na utawala wa bidhaa ya kutoka nje, wanaitawala wenye kumiliki hizo biashara na sio sisi.

Huko Lindi wamepata hospitali mpya tangu nchi ipate uhuru, unapowaambia awamu hii ni mbovu inabidi uje na hoja zenye kuingia vichwani mwao.

Kodi huwezi kukwepa kuzilipa iwapo unataka huduma ziboreshwe. Hao wanaotupa misaada wanajinyima matanuzi ili sisi tuweze kuishi, kumbuka hilo kabla hujaendelea kulialia.

Bandari inapata mwekezaji DP World na mwezi Novemba anaanza kazi, kule Mbegani Bagamoyo pia anakwenda kupatikana mwendeshaji mahiri, hiyo sekta ya uchukuzi serikali imejipanga kisawasawa.

Masuala mengi ya kiuchumi yanakwenda kupata ufumbuzi.

Punguza kulialia.
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimeferi vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Endeleeni kujifariji tu. Ila mama kila anapoenda anaondoka na Kijiji chote to mean wanamkubali sana na kiridhishwa na uongozi wake.
 
Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.

Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.

Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.

Biashara kuimalika

Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa

Mzunguko wa pesa kuonekana

Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki

Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha

Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo

Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa

Wakulima angalau wanaona faida

Elimu ya juu pesa imeongezwa.
Embu jibu hoja za mleta uzi, tofauti na hapo na wewe unanzishe uzi wa kusifu. Huyu ajibiwe kwenye hoja zako.
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimeferi vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Nani kakwambia pesa mtaani hakuna. Fanya kazi awamu hii Sasa pesa ndo zimejaa tele. Mi kila siku naspenda laki moja na sioni tabu. Fanya kazi kijana acha kubeti
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimeferi vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Lucas mwashambwa unasemaje? Mbona huyu ndugu anakupinga maana wewe kwa maoni yako (lakini yasiyo na ushahidi wa kushawishi na kuthibitika) huwa unadai, huyu ndiye Rais mwenye mafanikio zaidi, au siyo?
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Wewe endelea kulalamika huku umekaa wenzako wanapiga hela, Awamu hii ya mama kusema ukweli hela ipo mtaani. Kama kweli wewe ni mfanya biashara wa muda mrefu hili halina ubishi
 
Back
Top Bottom