Tahadhari: Makamanda "UKAWA" tuwe makini sana!

Umenifurahisha sana Mama Mdogo, yaani nakupa Heko katika mistari hiyo ya Biblia. Nami nakupa mistari hii,
Ezekieli 16:8-9
Pamoja sana.

Ahsante!

Ushauri wa nyongeza, wale wana Ukawa wote watakaokuwa wanatoka kusikiliza mahitimisho ya kampeni waende nyumbani salama kwa utulivu kwani kukitokea purukushani yoyote hata kama ni ndogo kiasi gani, watakuwa wameikosea jamuhuri na wanaweza kamatwa, rundikwa ndani hadi jumatatu na kupoteza haki ya kupiga kura. Soma Daniel 5:25 hadi 28 kwa ushauri wa ziada. Zingatia!!!!
 
Kura zinapigwa na kulindwa kiaina, nyie mnaosema sisiemu mbona hawazilindi zao, mnakosea sana. Yaani wao wenyenwe watazilinda na tayari washajulikana. Kilichofanyika Njombe asubuhi ya leo kwa mfano, sio kulinda huko? Wao wana sapoti ya Dola, Ukawa wana Sapoti yao wenyewe. MABADILIKO YANAANZA NA WEWE!

Ahsante!
 
Kwa nini tunakuwa na hisia za kutapatapa hivi? Mbona hatujiamini namna hii. Hii ni dalili ya kushindwa mapeeema asubuhi. Mbona ccm hawalalamiki namna hii.
Si Lowasa alisema tukishapiga kura tuondoke zetu yeye atajua namna ya kuzilinda? Au usemi huo aliufuta. Kama hajaufuta , piga kura nenda zako nyumbani kwako kaa na mmeo na watoto na ndugu mpige soga. Mambo mengine muachiw Lowasa

Unaongea kama unaishi USA!
 
Lowasa mwenyewe haaminiki nadhani bado hajaondoka ccm. Jana aliwapigia kampeni wabunge na madiwani wa ccm kule ifakara. Alisema hadharani chagueni wabunge na madiwani wa ccm Ni ajabu na kweli.
Tafakari chukua hatua

Wewe mkamilifu ulimi wako unamfupa. Watz bana...mihemko tu!
 
Ni wazo binafsi,
Upo uwezekano mkubwa siku ya leo jumamosi mpaka kesho alfajiri,vitendo vingi haramu hasa vinavyousiana kura za maruhani vinaweza vikatokea!,tuwe makini sana,mara tuhisipo hali isiyo ya kawaida mahali popote tanzania tuviripoti police mapema!/
**unaweza kuona mtu amevaa tai ukadhani ni mstaarabu kumbe ni wa hovyo zaidi ya wewe uliyevaa malapa**
12032970_783325481789764_1745365935284326944_n.jpg
 
Back
Top Bottom