willtarimo
Member
- Mar 20, 2014
- 21
- 10
Bado sijaona huo U_expert wako. Unajitamba na degree ya biashara. Kila mtu akianza kusema elimu yake hapa na uzoefu alionao tutafika kweli. Kwa uzoefu wangu wa miaka 5 wa kununua hisa na kuuza hata kufatilia kila leo soko la hisa, hapo umeipotosha jamii. Kuwa makini na fatilia kwa makini soko la hisa usitoe taarifa kama haujafatilia vya kutosha (No research no right to speak). Sitoweza kutaja elimu yangu kama unavyojibandikia wewe elimu ili kupotosha wachache waliomo humu juu ya soko la hisa. Me naona thread yako ni kama vile imekaa kivita fulani ndani yake.Wewe niite muongo ila nenda UKANUNUE JINA. Fedha ni zako na sina mamlaka nazo... Mimi kama expert kazi yangu ni kutoa angalizo, na nimetimiza majukumu yangu kwa umma wa watanzania... Hasa ndugu zangu wasio na upeo mkubwa juu ya mambo ya biashara, wasije wakaliwa kama walivyoliwa kwenye DECI...
Tuwe makini