Tahadhari kwa mliojipanga kununua hisa za makampuni ya simu...

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,660
15,745
Jamani, msije kusema napiga porojo, mimi nina digrii kadhaa kwenye mambo ya biashara, nimetumia karibu miaka kumi kusomea mambo ya kibiashara, kwa hiyo ndio maana naona bora niwataadharishe nyie mnaotegemea kununua hisa kwenye makampuni haya ya simu...

Kwa nini mtu huuza hisa?
Kuna sababu kadhaa za kuuza hisa, moja ni kuongeza mtaji ili kukuza biashara,
- Mbili ni pale mtu anapotaka kujitoa kwenye biashara huuza hisa zake kwenye biashara husika,
- Tatu ni kukusanya fedha ili kuweza kulipia madeni iwapo kampuni ipo kwenye hali ngumu kiuchumi.

Kwa nini kampuni nyingi za simu wanauza hisa, na kwa nini wanauza sasa?
- The market is not growing or its not profitable kwa hiyo wanauza hisa ili wawekeze kwenye biashara nyingine ambazo zina faida zaidi,
- Kwa nini wanauza hisa zao sasa? Hapo ndipo pa kujiuliza, kwa nini hawakuuza hisa zao labda miaka miwili, mitatu au mitano iliyopita? Jibu ni kuwa hakuna mtu anayeuza mali yake ikiwa inamzalishia, hakuna mtu anayeuza ng'ombe wa maziwa anayekamuliwa lita nyingi za maziwa. Ngo'ombe anauzwa akiwa amekwisha zeeka, au kama ni jike akiwa hana uwezo wa kutoa maziwa ya kutosha...
Study wanahisa wakubwa, Miaka ya hivi karibuni mwanahisa mkubwa Bwana Rostam aliuza hisa zake zenye thamani ya karibia bilioni mia tatu? Je jiulize, kama kampuni inafanya vizuri, kwa nini wanahisa wakubwa wanauza hisa zao badala ya 'kununua' hisa zaidi? Jibu unalo mwenyewe.

Je unapo nunua hisa unanunua nini?

Kwa kampuni za simu kwa hali ya sasa, unaponunua hisa, UNANUNUA JINA TU.
Haya makampuni makubwa ya simu kama Vodacom, Tigo nk walishauza minara yao yote ya simu kwa kampuni ya Helios Towers Tanzania.
Hawana majengo ofisi zote wamepanga,
Magari yao wamekodisha kwa kampuni mbali mbali za usafirishaji,
kwa hiyo haya makampuni yanamiliki jina tu... Hayana assets za maana. Usidanganyike na majina makubwa ya makampuni haya...
Waulizeni wenzenu walionunua hisa za Precision Air wametengneza faida sh ngapi?

Kiufupi mtaponunua hisa ikala kwenu hakuna atakaye watetea, Sheria ya manunuzi inatoa angalizo kwa mnunuzi wa bidhaa yeyote kwa kusema, 'Buyer beware'!

Kampuni halisi ya simu kwa hivi sasa hapa Tanzania ni Helios Towers ambayo ndiyo inamiliki minara ya mawasiliano (Hawa wengine wamebaki kuwa madalali wa sekta ya mawasiliano)... Siku wakija kutibuka wakakataa kupangisha minara yao, ina maana haya makampuni mengine ya simu yatatoweka... Kinachoyaweka haya makampuni ya simu hapa nchini ni vibali vya mawasiliano walivyouziwa na TCRA. Cku TCRA nao wakigoma ku renew leseni zao za mawasiliano huo ndio utakuwa mwisho wa makampuni husika...

Vodacom sells towers to Helios in $75 million deal: report | TelecomEngine.com

Bharti Airtel to sell 1,350 towers in Tanzania to American Tower Corp

Tigo Tanzania Sells Tower Assets to Helios Towers
 
Jamani, msije kusema napiga porojo, mimi nina digrii kadhaa kwenye mambo ya biashara, nimetumia karibu miaka kumi kusomea mambo ya kibiashara, kwa hiyo ndio maana naona bora niwataadharishe nyie mnaotegemea kununua hisa kwenye makampuni haya ya simu...

Kwa nini mtu huuza hisa?
Kuna sababu kadhaa za kuuza hisa, moja ni kuongeza mtaji ili kukuza biashara,
- Mbili ni pale mtu anapotaka kujitoa kwenye biashara huuza hisa zake kwenye biashara husika,
- Tatu ni kukusanya fedha ili kuweza kulipia madeni iwapo kampuni ipo kwenye hali ngumu kiuchumi.

Kwa nini kampuni nyingi za simu wanauza hisa, na kwa nini wanauza sasa?
- The market is not growing or its not profitable kwa hiyo wanauza hisa ili wawekeze kwenye biashara nyingine ambazo zina faida zaidi,
- Kwa nini wanauza hisa zao sasa? Hapo ndipo pa kujiuliza, kwa nini hawakuuza hisa zao labda miaka miwili, mitatu au mitano iliyopita? Jibu ni kuwa hakuna mtu anayeuza mali yake ikiwa inamzalishia, hakuna mtu anayeuza ng'ombe wa maziwa anayekamuliwa lita nyingi za maziwa. Ngo'ombe anauzwa akiwa amekwisha zeeka, au kama ni jike akiwa hana uwezo wa kutoa maziwa ya kutosha...
Study wanahisa wakubwa, Miaka ya hivi karibuni mwanahisa mkubwa Bwana Rostam aliuza hisa zake zenye thamani ya karibia bilioni mia tisa? Je jiulize, kama kampuni inafanya vizuri, kwa nini wanahisa wakubwa wanauza hisa zao badala ya 'kununua' hisa zaidi? Jibu unalo mwenyewe.


Je unapo nunua hisa unanunua nini?

Kwa kampuni za simu kwa hali ya sasa, unaponunua hisa, UNANUNUA JINA TU.
Haya makampuni makubwa ya simu kama Vodacom, Tigo nk walishauza minara yao yote ya simu kwa kampuni ya Helios Towers Tanzania.
Hawana majengo ofisi zote wamepanga,
Magari yao wamekodisha kwa kampuni mbali mbali za usafirishaji,
kwa hiyo haya makampuni yanamiliki jina tu... Hayana assets za maana. Usidanganyike na majina makubwa ya makampuni haya...
Waulizeni wenzenu walionunua hisa za Precision Air wametengneza faida sh ngapi?

Kiufupi mtaponunua hisa ikala kwenu hakuna atakaye watetea, Sheria ya manunuzi inatoa angalizo kwa mnunuzi wa bidhaa yeyote kwa kusema, 'Buyer beware'!

Kampuni halisi ya simu kwa hivi sasa hapa Tanzania ni Helios Towers ambayo ndiyo inamiliki minara ya mawasiliano (Hawa wengine wamebaki kuwa madalali wa sekta ya mawasiliano)... Siku wakija kutibuka wakakataa kupangisha minara yao, ina maana haya makampuni mengine ya simu yatatoweka... Kinachoyaweka haya makampuni ya simu hapa nchini ni vibali vya mawasiliano walivyouziwa na TCRA. Cku TCRA nao wakigoma ku renew leseni zao za mawasiliano huo ndio utakuwa mwisho wa makampuni husika...

Vodacom sells towers to Helios in $75 million deal: report | TelecomEngine.com

Bharti Airtel to sell 1,350 towers in Tanzania to American Tower Corp

Tigo Tanzania Sells Tower Assets to Helios Towers


Wewe utakuwa pia na degree ya uongo kabisa....
Pamoja na hiyo degree yako lakini unaonekana wewe ni muongo na siyo mfatiliaji kabisa au husikilizi maswala ya msingi au ya uchumi au hata bunge hukuwai kusikiliaza.

Ni kutaarifu tuu kuwa sheria mwaka huu bungeni ulipelekwa muswada(financial bill) bungeni wamabadiliko ya sheria na iliongezwa kifungu kinacho yalazimu makampuni ya simu na madini kujiorodhesha kwenye masoko ya hisa...na sheria iliwataka makampuni hayo kujiorodhesha mwishoni mwa mwezi huu wa kumi na mbili na ndicho kitakacho fanyika na sheria iliwataka makampuni yote kuuza asilimia 25 ya hisa walizonazo kwa Umma na kila mwezi watu watakuwa wanapewa gawio...
Hivyo mwisho wa mwezi huu makampuni ya simu yote na mengine yataji orodhesha kwenye soko la hisa dares-salaam(DSE)
Hivyo kusema wanauza hisa kwakuwa wana hali mbaya ya kiuchumi ni uongo na upotoshaji wa kiwango chajuu kabisa bali wanafanya hivyo kulingana na matakwa ya kisheria.
Punguzeni kupotosha watu japo ni kweli ulio wazi kuna faida na hasara za kununua hisa
 
Wewe utakuwa pia na degree ya uongo kabisa....
Pamoja na hiyo degree yako lakini unaonekana wewe ni muongo na siyo mfatiliaji kabisa au husikilizi maswala ya msingi au ya uchumi au hata bunge hukuwai kusikiliaza.

Ni kutaarifu tuu kuwa sheria mwaka huu bungeni ulipelekwa muswada bungeni wamabadiliko ya sheria na iliongezwa kifungu kinacho yalazimu makampuni ya simu na madini kujiorodhesha kwenye masoko ya hisa...na sheria iliwataka makampuni hayo kujiorodhesha mwishoni mwa mwezi huu wa kumi na mbili na ndicho kitakacho fanyika na sheria iliwataka makampuni yote kuuza asilimia 25 ya hisa walizonazo kwa Umma na kila mwezi watu watakuwa wanapewa gawio...
Hivyo mwisho wa mwezi huu makampuni ya simu yote na mengine yataji orodhesha kwenye soko la hisa dares-salaam(DSE)
Hivyo kusema wanauza hisa kwakuwa wana hali mbaya ya kiuchumi ni uongo na upotoshaji wa kiwango chajuu kabisa bali wanafanya hivyo kulingana na matakwa ya kisheria.
Punguzeni kupotosha watu japo ni kweli ulio wazi kuna faida na hasara za kununua hisa
Bora ulivyomwambia maana anaonekana haelewi chochote
 
Wewe utakuwa pia na degree ya uongo kabisa....
Pamoja na hiyo degree yako lakini unaonekana wewe ni muongo na siyo mfatiliaji kabisa au husikilizi maswala ya msingi au ya uchumi au hata bunge hukuwai kusikiliaza.

Ni kutaarifu tuu kuwa sheria mwaka huu bungeni ulipelekwa muswada bungeni wamabadiliko ya sheria na iliongezwa kifungu kinacho yalazimu makampuni ya simu na madini kujiorodhesha kwenye masoko ya hisa...na sheria iliwataka makampuni hayo kujiorodhesha mwishoni mwa mwezi huu wa kumi na mbili na ndicho kitakacho fanyika na sheria iliwataka makampuni yote kuuza asilimia 25 ya hisa walizonazo kwa Umma na kila mwezi watu watakuwa wanapewa gawio...
Hivyo mwisho wa mwezi huu makampuni ya simu yote na mengine yataji orodhesha kwenye soko la hisa dares-salaam(DSE)
Hivyo kusema wanauza hisa kwakuwa wana hali mbaya ya kiuchumi ni uongo na upotoshaji wa kiwango chajuu kabisa bali wanafanya hivyo kulingana na matakwa ya kisheria.
Punguzeni kupotosha watu japo ni kweli ulio wazi kuna faida na hasara za kununua hisa
Wewe niite muongo ila nenda UKANUNUE JINA. Fedha ni zako na sina mamlaka nazo... Mimi kama expert kazi yangu ni kutoa angalizo, na nimetimiza majukumu yangu kwa umma wa watanzania... Hasa ndugu zangu wasio na upeo mkubwa juu ya mambo ya biashara, wasije wakaliwa kama walivyoliwa kwenye DECI...
 
Wewe niite muongo ila nenda UKANUNUE JINA. Fedha ni zako na sina mamlaka nazo... Mimi kama expert kazi yangu ni kutoa angalizo, na nimetimiza majukumu yangu kwa umma wa watanzania... Hasa ndugu zangu wasio na upeo mkubwa juu ya mambo ya biashara, wasije wakaliwa kama walivyoliwa kwenye DECI...[/QUOT

Achana nao hao Nyumbu na chiriku shule yenyewe hajaenda kutwa anashida JF apate mlo
 
Wewe niite muongo ila nenda UKANUNUE JINA. Fedha ni zako na sina mamlaka nazo... Mimi kama expert kazi yangu ni kutoa angalizo, na nimetimiza majukumu yangu kwa umma wa watanzania... Hasa ndugu zangu wasio na upeo mkubwa juu ya mambo ya biashara, wasije wakaliwa kama walivyoliwa kwenye DECI...
Aisee asante kwa kunishtua...
Nilikuwa naingia kichwakichwa
 
Wewe niite muongo ila nenda UKANUNUE JINA. Fedha ni zako na sina mamlaka nazo... Mimi kama expert kazi yangu ni kutoa angalizo, na nimetimiza majukumu yangu kwa umma wa watanzania... Hasa ndugu zangu wasio na upeo mkubwa juu ya mambo ya biashara, wasije wakaliwa kama walivyoliwa kwenye DECI...
Una point nzuri....why now and not five years ago while it was booming....
 
Wewe utakuwa pia na degree ya uongo kabisa....
Pamoja na hiyo degree yako lakini unaonekana wewe ni muongo na siyo mfatiliaji kabisa au husikilizi maswala ya msingi au ya uchumi au hata bunge hukuwai kusikiliaza.

Ni kutaarifu tuu kuwa sheria mwaka huu bungeni ulipelekwa muswada bungeni wamabadiliko ya sheria na iliongezwa kifungu kinacho yalazimu makampuni ya simu na madini kujiorodhesha kwenye masoko ya hisa...na sheria iliwataka makampuni hayo kujiorodhesha mwishoni mwa mwezi huu wa kumi na mbili na ndicho kitakacho fanyika na sheria iliwataka makampuni yote kuuza asilimia 25 ya hisa walizonazo kwa Umma na kila mwezi watu watakuwa wanapewa gawio...
Hivyo mwisho wa mwezi huu makampuni ya simu yote na mengine yataji orodhesha kwenye soko la hisa dares-salaam(DSE)
Hivyo kusema wanauza hisa kwakuwa wana hali mbaya ya kiuchumi ni uongo na upotoshaji wa kiwango chajuu kabisa bali wanafanya hivyo kulingana na matakwa ya kisheria.
Punguzeni kupotosha watu japo ni kweli ulio wazi kuna faida na hasara za kununua hisa
Mkuu Rutashobolwa, angalau leo umeandika kitu kinachoeleweka. Kuna ukweli mwingi katika kile ulichokiandika, hata hivyo pamoja na ukweli huo, bado andiko la mleta mada lina uzito na ni angalizo muhimu sana ambalo mtu anayefikiri sawa sawa hapaswi kulipuuza!
 
Kwa nini kampuni nyingi za simu wanauza hisa, na kwa nini wanauza sasa?
- The market is not growing or its not profitable kwa hiyo wanauza hisa ili wawekeze kwenye biashara nyingine ambazo zina faida zaidi,
- Kwa nini wanauza hisa zao sasa? Hapo ndipo pa kujiuliza, kwa nini hawakuuza hisa zao labda miaka miwili, mitatu au mitano iliyopita? Jibu ni kuwa hakuna mtu anayeuza mali yake ikiwa inamzalishia, hakuna mtu anayeuza ng'ombe wa maziwa anayekamuliwa lita nyingi za maziwa. Ngo'ombe anauzwa akiwa amekwisha zeeka, au kama ni jike akiwa hana uwezo wa kutoa maziwa ya kutosha...
Kama hii ndio msingi (premise) wa unachosema (argument yako), umepotoka na unapotosha wengine.
Study wanahisa wakubwa, Miaka ya hivi karibuni mwanahisa mkubwa Bwana Rostam aliuza hisa zake zenye thamani ya karibia bilioni mia tisa? Je jiulize, kama kampuni inafanya vizuri, kwa nini wanahisa wakubwa wanauza hisa zao badala ya 'kununua' hisa zaidi? Jibu unalo mwenyewe.
Hapa unaweza kuwa na point, lakini kwa msingi huo huo milicom imenunua hisa za zantel kutoka etisalat si muda mrefu umepita, nao wawe studied. Na hii isieleweke kwamba nasema zantel wanafanya vizuri au la.
Je unapo nunua hisa unanunua nini?
Unanunua thamani ya baadaye (future value) ya kampuni.
Kwa kampuni za simu kwa hali ya sasa, unaponunua hisa, UNANUNUA JINA TU.
Haya makampuni makubwa ya simu kama Vodacom, Tigo nk walishauza minara yao yote ya simu kwa kampuni ya Helios Towers Tanzania.
Hawana majengo ofisi zote wamepanga,
Magari yao wamekodisha kwa kampuni mbali mbali za usafirishaji,
kwa hiyo haya makampuni yanamiliki jina tu... Hayana assets za maana. Usidanganyike na majina makubwa ya makampuni haya...
Sio ajabu unaloita "jina tu" lina thamani zaidi ya minara, majengo na magari. Umesema umesoma biashara miaka 10 au zaidi so you should know this. Minara, majengo na magari sio core asset kwa mitandao ya simu, zingekuwa core asset wasingemuachia mwingine.
Kiufupi mtaponunua hisa ikala kwenu hakuna atakaye watetea, Sheria ya manunuzi inatoa angalizo kwa mnunuzi wa bidhaa yeyote kwa kusema, 'Buyer beware'!
Hii ni sahihi. Ungeishia hapa ingetosha.
Kampuni halisi ya simu kwa hivi sasa hapa Tanzania ni Helios Towers ambayo ndiyo inamiliki minara ya mawasiliano (Hawa wengine wamebaki kuwa madalali wa sekta ya mawasiliano)... Siku wakija kutibuka wakakataa kupangisha minara yao, ina maana haya makampuni mengine ya simu yatatoweka... Kinachoyaweka haya makampuni ya simu hapa nchini ni vibali vya mawasiliano walivyouziwa na TCRA. Cku TCRA nao wakigoma ku renew leseni zao za mawasiliano huo ndio utakuwa mwisho wa makampuni husika...
Utter nonsense. And spoken with so much authority and in such a self assured manner too, the story of these forums.
 
Wewe utakuwa pia na degree ya uongo kabisa....
Pamoja na hiyo degree yako lakini unaonekana wewe ni muongo na siyo mfatiliaji kabisa au husikilizi maswala ya msingi au ya uchumi au hata bunge hukuwai kusikiliaza.

Ni kutaarifu tuu kuwa sheria mwaka huu bungeni ulipelekwa muswada bungeni wamabadiliko ya sheria na iliongezwa kifungu kinacho yalazimu makampuni ya simu na madini kujiorodhesha kwenye masoko ya hisa...na sheria iliwataka makampuni hayo kujiorodhesha mwishoni mwa mwezi huu wa kumi na mbili na ndicho kitakacho fanyika na sheria iliwataka makampuni yote kuuza asilimia 25 ya hisa walizonazo kwa Umma na kila mwezi watu watakuwa wanapewa gawio...
Hivyo mwisho wa mwezi huu makampuni ya simu yote na mengine yataji orodhesha kwenye soko la hisa dares-salaam(DSE)
Hivyo kusema wanauza hisa kwakuwa wana hali mbaya ya kiuchumi ni uongo na upotoshaji wa kiwango chajuu kabisa bali wanafanya hivyo kulingana na matakwa ya kisheria.
Punguzeni kupotosha watu japo ni kweli ulio wazi kuna faida na hasara za kununua hisa
Nami navyojua ndio hvyo ...huyu mleta Uzi ana degree ya kukariri kwenye vimbweta bila kufuatilia yanayoendelea kwenye nchi.
 
Kiongozi umeongea ukweli ila kwa hali halisi haya makampuni yanajiorodhesha kwenye soko la hisa la Dar es salaam kutokana na serikali kuzitaka company zote za simu zijisajili DSE.
 
Wewe mleta mada usingetaja hata idadi yako ya degrees. Maana assessment yako ni poor.
Labda kwa kukufahamisha ni kwamba serikali imekuwa ikitaka hizi kampuni za simu zi-list share. Vodacom move could be an attempt to please the government and more will follow. There is a corporate tax incentive for a listed company.
Telecommunications market isn't saturated as you want us to believe. The market is evolving and very innovative. Matumizi ya internet na m-pesa will make this market lucrative.
Rostam aliondoka lakini vodacom imeendelea ku-prosper. We know millicom hinted retrenchment, but for sure there is a lot more than redundancy. Millicom went for a loss making etisalat with a possibility of enjoying tax benefit from the acquisition because losses can be carried forward.
While the business environment remains volatile, you cannot preempt vodacom listing with unsubstantiated claims.
 
Nahisi nmevulugwa, m nilidhani ni takwa kisheria, kama bunge lilivyo sema kumbe wakuja kutupiga? Asee mwenye elim zaidi wakuu anajulishe...
 
Back
Top Bottom