Tahadhari: Benki nyingi zinaweza kupata hasara na nyingine kufilisika

iparamasa

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
13,438
14,916
Kuna taarifa kwamba benki nyingi biashara imegoma, hazipati faida. Hatari hii ni kubwa sana kiuchumi kwa nchi yetu.

Kuna taarifa kwamba CRDB nao wanapata hasara sasa na ni suala la muda tu wanachokificha kitafahamika kwa umma. Kuna taarifa kwamba hata NMB nao hali ni tete.

Hizi ni benki kubwa zinayumba. Tatizo liko wapi? Tupige kelele kwa nguvu ili hatua zichukuliwe haraka, vinginevyo fedha zetu ziko hatarini.

IMG-20161028-WA0031.jpg
 
mods huu uzi unaweza kuuacha kwa mustakabali wa sekta ya kibenki ili iwe alama ya tahadhari.

kuna taarifa kwamba benki nyingi biashara imegoma,hazipati faida.Hatari hii ni kubwa sana kiuchumi kwa nchi yetu,

kuna taarifa kwamba CRDB nao wanapata hasara sasa na ni suala la muda tu wanachokificha kitafahamika kwa umma.

kuna taarifa kwamba hata NMB nao hali ni tete.

Hizi ni benki kubwa zinayumba

tatizo liko wapi? tupige kelele kwa nguvu ili hatua zichukuliwe haraka,vinginevyo fedha zetu ziko hatarini
View attachment 425743
watu wanazidi kutoa tu pongezi eti speed ya maendeleo awamu hii haijawahi tokea
 
Bank zilizoea vya dezo, zinapata loss saiv kwa sababu zinapiga U turn, zikishageuka na kuanza kufanya Biashara ya ukweli Uchumi utakuwa sana

Waliacha kufocus kwa Wateja wadogo, wajasiriamali ,wakulima, wakawa wanapiga madili na watu wachache /taasisi chache


Imagine bank karibu 60 zilikuwa zinahudumia Wateja less than 20%ya Watanzania .sababu only 20 percent ndo wana access to financial services

Sasa saiv ili waanze kupata faida walizokuwa wanapata kwa mbinu zilizokuwa si salama kwa Uchumi endelevu wa nchi inabid waanze kuwatafuta hao Watanzania wengine 80% waliokuwa wameachwa

Ni bora tubaki na bank 10 zenye tija kuliko bank 60 zinazofaidisha wachache
 
Bank zilizoea vya dezo, zinapata loss saiv kwa sababu zinapiga U turn, zikishageuka na kuanza kufanya Biashara ya ukweli Uchumi utakuwa sana

Waliacha kufocus kwa Wateja wadogo, wajasiriamali ,wakulima, wakawa wanapiga madili na watu wachache /taasisi chache


Imagine bank karibu 60 zilikuwa zinahudumia Wateja less than 20%ya Watanzania .sababu only 20 percent ndo wana access to financial services

Sasa saiv ili waanze kupata faida walizokuwa wanapata kwa mbinu zilizokuwa si salama kwa Uchumi endelevu wa nchi inabid waanze kuwatafuta hao Watanzania wengine 80% waliokuwa wameachwa

Ni bora tubaki na bank 10 zenye tija kuliko bank 60 zinazofaidisha wachache
hujui madhara kiuchumi ya hili bandiko lako....nadhani unachokijua ni nguo za kijani
 
Mim Nikacho Niuma

Wasomi Kuwa Watumwa Kwa Wanasiasa

Yan Pamoja na Elimu Waliyo nayo Wasomi Ila Bado wanaendeshwa kisiasa siasa

Hii Kitu Inaniuma sana athee
ma prof na dk ndio wako mstari wa mbele.kutumikia matumbo yao
 
Anguko la bank moja lina impact kubwa..........

Wafanyakazi kupoteza Ajira......

Wawekezaji kupoteza hisa au mtaji wao.......

Wajasilia Mali kupoteza Ajira.....

Serikali uchukue hatua za haraka maana nasikia wanaofuata na NBC.....
 
Back
Top Bottom