Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF nawapa tahadhari na ATM hizi za SCB.
Jana mida ya sa 5 asubuhi nilienda kudraw hela kutoka ATM ya SCB HQ, nilicommand laki 3 ATM machine ikarun HAIKUTOA HELA ikanipa list kwamba nimetoa LAKI TATU. Nilikaa nimeduwaa kilichotokea ikabidi niwambia wanaonifuata wasitoe hela, niliingia ndani kumueleza Bank officer what happen.
Bank offer kwa Jeuri ananiambia mimi tapeli hela nimechukua ikabidi nimshike mkono mpaka kwa wale mashuhuda niliowaacha kwenye foleni wakamwambia hela hazijatoka.
Long story......
Mwisho tukafika kwa Branch manager nikapewa hela Yangu
Swali:
1. Kama ATM zinakosea kihivi je ukipata tatizo siku ya weekend ndo hutapata hela yako??
2. Je inawezekana huu ni mradi mdogo kwa baadhi ya Mabank officer??
Jana mida ya sa 5 asubuhi nilienda kudraw hela kutoka ATM ya SCB HQ, nilicommand laki 3 ATM machine ikarun HAIKUTOA HELA ikanipa list kwamba nimetoa LAKI TATU. Nilikaa nimeduwaa kilichotokea ikabidi niwambia wanaonifuata wasitoe hela, niliingia ndani kumueleza Bank officer what happen.
Bank offer kwa Jeuri ananiambia mimi tapeli hela nimechukua ikabidi nimshike mkono mpaka kwa wale mashuhuda niliowaacha kwenye foleni wakamwambia hela hazijatoka.
Long story......
Mwisho tukafika kwa Branch manager nikapewa hela Yangu
Swali:
1. Kama ATM zinakosea kihivi je ukipata tatizo siku ya weekend ndo hutapata hela yako??
2. Je inawezekana huu ni mradi mdogo kwa baadhi ya Mabank officer??