Power to the People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 1,198
- 892
Mimi nina swali, inawezekana hela itolewe kwenye account yako na ATM card nyingine lakini ionekane ni card yako, na je mtu mwingine anaweza kutengeneza card kama yako yaani a fake card na kuitumia na hela zikatoka?