😂 kwa picha umezihesabuje?Sasa Hizo laki 4 na 20 ndio utuanzishie Uzi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tafuta pesa usipate muda wa kuanzisha nyuzi JF
Leo utasumbua mtaa tajiri.....
Binadamu mahangaiko yote hayo mwisho wa siku utafukiwa chini futi sita..ila tuishi tu🤣Ulizoanika hapo ni za mboga tu! Sina elimu ya darasani ila hata nikijamba naambiwa "pole mzee " , ujue mimi ni kijana ila pesa inaleta heshima ya mzee mwenye busara. Nikitukana naambiwa asante mzee.
Naunga mkono hojaTafuta pesa kwa maendeleo yako, uboreshe maisha yako na sio kutaka attention ya watu.