Nova Kambota
Member
- Nov 12, 2009
- 62
- 1
Katika taarifa ya habari ya jana saa mbili usiku mwandishi wa habari mzoefu wa TBC Joseph Msami alisema... "vurugu za CHADEMA huko Arusha"... katika moja ya taarifa aliyoisoma
Sasa nikawa nasubiri kumsikia labda ataomba radhi kwa matamshi yake hayo ambayo kwa kujua au kutojua kwake yamemfanya kuonekana anatumiwa kisiasa kwa maana katika kipindi hiki kigumu cha mitafaruku ya kisiasa tunachopitia kama taifa hasa baada ya kile kilichotokea Arusha ni busara kuwa wa kweli na kujikita zaidi katika kutafuta amani na kuchukua tahadhari ili hali kama ile isijitokeze tena hivyo Joseph Msami kama mwanahabari mzoefu hakupaswa kusema alivyosema heri angetumia neno vurugu za kisiasa , hivyo nachukua nafasi hii kama mpenda amani wa taifa kumtaka Joseph Msami ajitokeze hadharani na aombe radhi kwa matamshi yake ya jana.
Habari na Nova Kambota
Mzumbe university Morogoro
0717 709618 au 0766 730256
Sasa nikawa nasubiri kumsikia labda ataomba radhi kwa matamshi yake hayo ambayo kwa kujua au kutojua kwake yamemfanya kuonekana anatumiwa kisiasa kwa maana katika kipindi hiki kigumu cha mitafaruku ya kisiasa tunachopitia kama taifa hasa baada ya kile kilichotokea Arusha ni busara kuwa wa kweli na kujikita zaidi katika kutafuta amani na kuchukua tahadhari ili hali kama ile isijitokeze tena hivyo Joseph Msami kama mwanahabari mzoefu hakupaswa kusema alivyosema heri angetumia neno vurugu za kisiasa , hivyo nachukua nafasi hii kama mpenda amani wa taifa kumtaka Joseph Msami ajitokeze hadharani na aombe radhi kwa matamshi yake ya jana.
Habari na Nova Kambota
Mzumbe university Morogoro
0717 709618 au 0766 730256